Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 8,176
- 14,122
Ngazi ya tatu bado sisi ni watoto wadogo, hakuna kujuta Wakuu wenzangu.
Nafurahia zaidi nimekwepa mambo yanayowakumba vijana wenye 20s
- Nimelala kituo cha polisi ila nashukuru siijui jela (vijana wengi kwenye 20s huishia jela kwa tamaa, makundi, vurudugu za damu kuchemka, n.k.
- nilichukua tahadhari kukwepa magonjwa ya ngono
- nimewahi kujaribu bangi ila niliacha (bangi ya Tz ni 50/50 waweza kudata)
- sina mtoto wa nje ya ndoa
- n.k.
Nachojutia zaidi nimewahi kupoteza muda kumpenda mwanamke ambae hanithamini,
Wengi sana wanaharibu maisha wakiwa kweny
Hapo huna cha kujutia mzee. Ungekua na mke ndo angeuza na hyo nyumba afu anakimbia kabisa!!Kutokuoa aisee maana nimetimiza 30 juzi tareh 26.4. Nina nyumba ila now ninaumwa basi nyumba nzima nipo peke yangu baba mzazi amefariki nina mama na babamdogo tu nao wanamajukumu yao basi dah nawaza ningekuwa na mke angenipa kampani kubwa sana.
Hii imegharimu wengi. Too bad to trust peopleTrusting people
Mshukuru sana Mungu kwa uamuzi huo wa kutooa mapema. Ungekuwa na huyo mke huenda mpaka sasa usingekuwa mgonjwa tu ila marehemu kwa hayo maudhi ambayo ungepitia katika hali hiyo ya ugonjwa.Kutokuoa aisee maana nimetimiza 30 juzi tareh 26.4. Nina nyumba ila now ninaumwa basi nyumba nzima nipo peke yangu baba mzazi amefariki nina mama na babamdogo tu nao wanamajukumu yao basi dah nawaza ningekuwa na mke angenipa kampani kubwa sana.
Baba yake ni nani?Mimi naomba niseme tu majuto ni mjukuu!
Tupe mwongozoo lo
Unatumia kiungo gani cha mwili kufikiri kaka!Kutokuoa aisee maana nimetimiza 30 juzi tareh 26.4. Nina nyumba ila now ninaumwa basi nyumba nzima nipo peke yangu baba mzazi amefariki nina mama na babamdogo tu nao wanamajukumu yao basi dah nawaza ningekuwa na mke angenipa kampani kubwa sana.
Umri waemiaka 24-35 unakatika mapema sanaNi kuchelewa kupata mtoto ..
Nimepata mwanangu wa kwanza nikiwa na 30 kamili
Nilitamani kuwa na mtoto tuliepishana hata miaka 25
Lakini sijui nilichelewa wapi?
Yaani sinui kwakweli nilikuwa nafanya nini huo umri
Dah nmejenga mapema aisee mpk ss nina miaka 30 nina nyumba tatu halaf sina msingi wa biashara ndo ilo nalo jutia
Kwenye uchumi upi mkuu? Huu usiotabirika wa CCM. Kwamba unajiwekea mipango ndani ya miez mitatu ya Kikwete anakuja kuingia magufuli kila kitu kinayeyuka.
sasa elekeza nguvu kwenye biashara utafanikiwa bado hujachelewaDah nmejenga mapema aisee mpk ss nina miaka 30 nina nyumba tatu halaf sina msingi wa biashara ndo ilo nalo jutia