Mimi najutia nilifanya investment badala ya kufanya savings.
Mwisho wa siku biashara zimekufa sina savings hata moja.
Najutia kutonunua viwanja pesa yote nikaweka kwenye miradi ambayo yote imekufa.
Ongezea tujifunze
konyagiBinafsi ni kuoa Kwa kufuata mihemko ya ngege zangu
Cha Arusha Mzee wng msambwanda ukaniponza nikavuta mama chapkonyagi
duu nyege mbaya sana unaweza juta hadi kufaCha Arusha Mzee wng msambwanda ukaniponza nikavuta mama chap
Shukuru hata kwa huyo uliyempata wengine tunaelekea 40+ na bado hatuja jaariwa kupata mtotoNi kuchelewa kupata mtoto ..
Nimepata mwanangu wa kwanza nikiwa na 30 kamili
Nilitamani kuwa na mtoto tuliepishana hata miaka 25
Lakini sijui nilichelewa wapi?
Yaani sinui kwakweli nilikuwa nafanya nini huo umri