Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Marafiki wa wema wote ni waswahili hata hafanani nao, sio class yake, ndio maana hawadumu.
Marafiki wa vigodoro nao ni marafiki? Group ya Wema ni kina Irene Kiwia, Faraja Kota, K-lynn and the like. Sio hizi takataka! Sijui hata analalamika nini? Aachane na hawa waswahili atafute marafiki wa class yake aone kama hawatadumu.

Hao ulio wataja wote hawaendani na tabia za wema..wametulia ila wema tabia zake ni za hao wakina aunt ezekiel...kajala
 
Tatizo lake huwa hataki kufuata ushauri.Hata meneja wake ni Mara nyingi anampa makavu kuwa marafiki zake ni wanafiki lakini hasikii.Nafikiri anajuta sana sasa hivi.
 
i feel so sad to WEMA. Ppl humu ndani jaribuni kuvaa viatu vyake jamani. Najua hakuna ambae vitamtosha.
 
Ni kweli hata akikuona umehuzunika hukurukia rukia hukuchangamkia, akiona hauelekea hukunja mkia wake na ujilaza chini kusikilizia unanini leo, akiona unauziwa, wakwanza kupambana na anayekudhuru, lakini njoo kwa paka akikosa maziwa tu, anajiweka pembeni au anahamia baa kunakopatikana mabaki ya samaki.

Sante sana,

Kumbe ndio maana wazungu hupenda mbwa kuliko viumbe vyote.
 
Nasikitika sana wambea wenzangu siku mmepukutika geniveros siku izi haonekani, Dinazarde yupo busy, Heaven on Earth nae haeleweki, akina chige na Matola nao siku izi wamekuwa hadimu, jukwaa linapoa, namis tuwe kama zamani loh, nimeshawazoea kwa kweli, naumia vibaya kuwakosa, Mrembo by Nature nae sijui kapata danga gan uko china ata umbea hataki siku izi mamakibunju nae kakata mguu mazima, Madame B kapata mzungu sijui

mine nnatingwa vbaya
napitaga kusoma tu
si unajua BRN...
 
Last edited by a moderator:
Mama alinikatazaga marafiki wa kike nikiwa shule ya msingi hadi leo sn rafiki au shoga alinisisitiza nikitaka kuumizwa kwaumbea niwe nahao watu hadi leo rafiki zangu niwakiume walio tulia wanao jiheshim nikiwa namsichana mwenza tunapiga stor tunachecha lakin sisubutu kunyanyua ulimi wangu kumwambia habar zangu au zawatu najua mazara yake wema abadilike abaki na kina kadinda tu
 
Ajiangalie kwanza yeye...maybe yeye ndio chanzo cha matatizo...
alafu hiyo picha..khaaa..
Kama anamiaka 64 vile

Wewee wakikusikia wapambe wake....!!! Wenzio wanakwambia Zari haoni ndani..
 
Marafiki wa wema wote ni waswahili hata hafanani nao, sio class yake, ndio maana hawadumu.
Marafiki wa vigodoro nao ni marafiki? Group ya Wema ni kina Irene Kiwia, Faraja Kota, K-lynn and the like. Sio hizi takataka! Sijui hata analalamika nini? Aachane na hawa waswahili atafute marafiki wa class yake aone kama hawatadumu.

Kwa matendo aliyonayo haendani kabisa na hawa watu bt anakosea kuwa na marafiki ambao wana njaa.
 
Ila inaonekana ana mke sema ndo hivyo tena anaendekeza umalaya. Kuna mahali binamu kasema hivi.....nasikia kafumwa na mume wa mtu hotelin

Pia Diva Beyonce naye kwa jibu alilonipa hapo juu nahisi naye anasema disii ana mke, sema ndo hivi bado anaendekeza mechi za mchangani

Kajala anachambwaje uko insta, halafu anajikausha kama sio yeye
 
Haka kademu me nakapenda sana jamani,basi tu uwezo wa kukapata na kukatuliza ndani ya himaya yangu ndo sina,ila wema in my eyes ni binti ninaemuona kuwa ni mrembo sana.
 
Samahani, baba ake kuwa balozi haimaanishi basi ndio alikuwa millionare kama unavyompamba,ivi unawajua watoto wa mabalozi vizuri? Achana na mabalozi wa miaka 87, nazungumzia mabalozi as ambassador, kwanza sijawahi kuona mtoto wa balozi akawa bongo movie, wema ndio wa kwanza, mtoto wa balozi anategemea kununuliwa gari na wanaume? Anaishi kwa kutegemea wanaume? Ebu usitake kuchafua title za watu wenye heshima zao bwana

Huyo wema anakaa sinza, kalelewa na kukulia apo sinza mori, kwao hawana maisha ya kutisha kihivyo ukawadanganye hao washamba, alibahatika tu kusoma shule nzuri, wema ni mswahili na ndio maana anaendana na waswahili wenzie ,kama angekuwa sio mswahili asingeambatana na waswali, upo apo? NDege wafananao ndio walukao pamoja, wema hawezi kukaa na akina nancy kwa sababu wema ni mbea, mnafiki na anapenda majungu na anawaza wanaume tu na sio maendeleo na ndio maana anaambatana na watu wenye akili kama zake, kwa hyo usiwadanganye watu eti wema wa kishuaaa mmxiuuuu, wakishua labda kwa hao bongo movie wenzao

Umesema ukweli mtupu..ambacho watu hawakielewi ni kwamba mama yake Wema alikuwa ni mchepuko wa Made Sepetu kwani yule made alikuwa na mke na watoto wakubwa tu kule Zanzibar.Watoto wote was yule mzee wapo njema na mmoja ninaemjua ameoa katika familia ya Karume.Wakati mzee yupo ubalozini alukuwa na halo watoto wake.Wema alizaliwa tz tena sinza wakati Mzee kasharudi nchini na kuwa Waziri.Wema alisoma pale shule ya Academic Mikocheni.
 
Back
Top Bottom