Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

AHAh, ivi kwenye ule uzi ulikuja tena?

Nimekuja binamu warumi, kumbe hujaona ma-like ya kumwaga niliyokupa eeh, nimeona imefikia mahali mkawa mnaenda sawa na daktari wetu! ila natafuta muda mzuri nitulie nisome kuanzia nilipoishia, ule uzi inatakiwa usiwe na haraka kama unataka kutoka na kitu cha maana
 
Last edited by a moderator:
Sijapanic nashangaa mtu mzima anatawaliwaje..


SIo ndio kama hvyo anataka aunt asiongee na kajala kisa wamegombana nae, wewe unatafsiri nn kama sio kutawala wenzie? Naona umepanick binamu utajibebaa

Mfano aunty kutwa anashinda kwa wema.... yaani ale msosi wa wema anye chooni kwa wema halafu akishiba akapuyange kwa kajala???

Mmmmmmh
 
  • Thanks
Reactions: naa
Marafiki wa wema wote ni waswahili hata hafanani nao, sio class yake, ndio maana hawadumu.
Marafiki wa vigodoro nao ni marafiki? Group ya Wema ni kina Irene Kiwia, Faraja Kota, K-lynn and the like. Sio hizi takataka! Sijui hata analalamika nini? Aachane na hawa waswahili atafute marafiki wa class yake aone kama hawatadumu.

Kweli kabisa.Tena marafiki wenyewe wanaishia kumharibu tu hata hawazii future yake.
Kiukweli hata mimi marafiki waswahili sina na siwataki kabisaaa...naepuka mambo mengi tu.
 
Nimekuja binamu warumi, kumbe hujaona ma-like ya kumwaga niliyokupa eeh, nimeona imefikia mahali mkawa mnaenda sawa na daktari wetu! ila natafuta muda mzuri nitulie nisome kuanzia nilipoishia, ule uzi inatakiwa usiwe na haraka kama unataka kutoka na kitu cha maana

Kabisa uusome, kuna mambo mazur sana kule
 
Last edited by a moderator:
Beautiful Onyinye wa Bongo , Wema Sepetu amefunguka kuwa , anajua siku zote yeye hana bahati ya kuwa na marafiki kwa kuwa hata akiwa nao mwishowe kunatokea mgogoro na kuachana huku kila mmoja akimuona mbaya.

Wema alisema anaumia sana kwa kuwa mara nyingi anawapenda sana rafiki zake kwa moyo mmoja lakini mwisho wa urafiki wao huwa ni mbaya sana tena huvunjika kwa kugombana.

“Mimi nimeshajiona siku nyingi sina bahati kabisa, hata nikiwa na marafiki ambao nawapenda kutoka moyoni , mara nyingi wananigeuka na mama yangu amekuwa akinisihi mara nyingi sana , sasa naona bora nifuate ushauri ambao mama yangu ananishauri wa kuangalia watu wa kuanzisha urafiki nao , ” alisema Wema.

Chanzo: GPL

tatizo la huyu mtu hajitambui ana mambo ya kitoto sana laiti kama angekua anajitambua na kujua anacho kifanya angekua anajiepusha na marafiki anao fanana nao tabia za kitoto hawampi maarifa mapya.

ajifunze kutoka kwa Nancy sumari.......!!
 
Sijapanic nashangaa mtu mzima anatawaliwaje..




Mfano aunty kutwa anashinda kwa wema.... yaani ale msosi wa wema anye chooni kwa wema halafu akishiba akapuyange kwa kajala???

Mmmmmmh

KWani kuna shida gani? KWani wao wana ugomvi? Huo ni ukoloni walahi wala si sawa
 
Kweli kabisa.Tena marafiki wenyewe wanaishia kumharibu tu hata hawazii future yake.
Kiukweli hata mimi marafiki waswahili sina na siwataki kabisaaa...naepuka mambo mengi tu.

Tatizo aina ya marafiki, marafiki sio wote wabaya, mbona Nancy na akina k-lyn, nasreem ni marafik wa mda mrefu ila hawana ma beef ya kipuuz kama mama ubaya? YEye tu kachagua maisha ya kiji kijinga
 
Mjomba ukiishi kwa mtu kuna rules za kufuata.....kiufupi unauza sehemu ya uhuru wako (chezea kwenda chooni wewe)


KWani kuna shida gani? KWani wao wana ugomvi? Huo ni ukoloni walahi wala si sawa

Ila aunty angekuwa anaishi kwake.....
Ushosti na wema ni wa kukutana kutia story then kila mtu na kwake yasingemkuta.....angepangiwa masharti saa ngapi????

Kwa lugha nyingine siku nyingine waache kujisogeza kwa mtu (mtu mzima huofii kubakwa kwa uhuru wako??) Ingewaepusha na mengi ukizingatia ushosti wenyewe wa kumjini mjini huu
 
Bora aachane na marafiki angekua anasikiliza ushauri wa mamake asingefika hapo. Rafiki mzuri ni yule akufaaye kwa hali zote nzuri au mbaya ila hawa bongo movie hamna rafiki wa kweli.

Kweli japo wema ana mapungufu yake lakini huwa anawapenda marafiki zake sana.
Na ana roho nzuri huyu dada.Tusimvue utu wake kisa tu hataki rafiki yake awe na urafiki na adui yake.
Kiukweli hata mimi sitofurahi kumuona rafiki yangu ninayempenda na kila kitu namueleza halafu nimuone na adui yangu.Bora iwe salamu tu lakini ushoga wa kihiiivyo wewe utafurahi kweli Diva Beyonce?
 
Last edited by a moderator:
Mjomba ukiishi kwa mtu kuna rules za kufuata.....kiufupi unauza sehemu ya uhuru wako (chezea kwenda chooni wewe)




Ila aunty angekuwa anaishi kwake.....
Ushosti na wema ni wa kukutana kutia story then kila mtu na kwake yasingemkuta.....angepangiwa masharti saa ngapi????

Kwa lugha nyingine siku nyingine waache kujisogeza kwa mtu (mtu mzima huofii kubakwa kwa uhuru wako??) Ingewaepusha na mengi ukizingatia ushosti wenyewe wa kumjini mjini huu

NImekuelewa, wema anawasaidia sana rafiki zake to the point mpaka inakuwa kwamba anachotak yeye basi marafik zake wafuate coz anawasaidia vitu vingi, ki binadamu ni sawa ila aangalie marafik wa kuwa nao, marafik wa kufuatana matakon kutwa mpaka mnajambiana lazima mpeane mashart ya kipuuzi, mbona akina jide, nancy, jokate hawana ushoga wa kipuuzi na watu wa ajabu, kutwa wema na rafik zake wa tandale
 
Nimejikuta namuonea huruma kiukweli.Lakini tatizo la Wema anapenda urafiki na mastar/malaya wenzie ambao mwisho wa siku huishia kugombana.
Kwanini asiwe na rafiki wa kawaida tu asiyependa mambo ya mjini? Tena awe mdada mwenye shughuli zake za kimaendeleo hakika angembadilisha sana.

Inauma shoga ako wakaribu kukuacha kwenye mataa bila taarifa tena hakumuita kwenye event muhimu ka baby shower. Ndo ajifunze aachane na marafiki wasio mpa ushauri wa Ku progress no one is perfect mashost wengi wanakupenda ukiwa nacho. Mbaya Anti anafanya ka kumukoa vile.
 
AHaha mwenzangu, ni shidaaa, binamu kuna kitu kinakutatiza, naona haupo sawa kabisa

Ha ha ha ha ha asante binamu kwa kujali.
Sina tatizo lolote kabisa, kuwa na amani tu.
 
Tatizo aina ya marafiki, marafiki sio wote wabaya, mbona Nancy na akina k-lyn, nasreem ni marafik wa mda mrefu ila hawana ma beef ya kipuuz kama mama ubaya? YEye tu kachagua maisha ya kiji kijinga

Binamu kinachomharibu wema ni marafiki ambao wanamuongoza kwenye upuuzi ambao mwisho nae kabobea.
Wema sio wa kuwa na marafiki waswahili kama kajala, snura n.k maana hawa wote ni waswahiliiiii waliobobea.
Kama angeliona hilo mapema na akajiunga na marafiki wa maana kama hao leo hii Wema asingekua wema huyu tunayemdharau sasa.
 
Haswaaa binamu

Ushoga wa kufuatana fuatana makalioni mwisho wake sio mzuri

Kwanza hivi aunty na wema wakikutana wataongea nini cha maendeleo????

Ndio mwanzo ku anty ku-feature in my shoes na kupangiwa mashart aone anaonewa

Ushosti unadumu kama mnaonana for a reason hata kama ni mara kwa mara ila mnaonana mnafanya lililowakutanisha kila mmoja anasepa kwake...ila huu wa kula kulala kuamka kujamba kunya pamoja???? Thubutuuuuuu mwisho lazima mmoja aone anapelekeshwa

Wema nae abadili aina ya marafiki ( kama anataka kusonga mbele kuwa kama kina nancy (kimaendeleo lkn)) hawa marafiki wa kuwaza mwanaume gani mwenye pesa wambebe hawana dili


Anyway binamu ubuyu wa kajala na mh dc umeupata? Nashangaa hauumwagi au ndio mambo ya cyber crime??? Hahaha


NImekuelewa, wema anawasaidia sana rafiki zake to the point mpaka inakuwa kwamba anachotak yeye basi marafik zake wafuate coz anawasaidia vitu vingi, ki binadamu ni sawa ila aangalie marafik wa kuwa nao, marafik wa kufuatana matakon kutwa mpaka mnajambiana lazima mpeane mashart ya kipuuzi, mbona akina jide, nancy, jokate hawana ushoga wa kipuuzi na watu wa ajabu, kutwa wema na rafik zake wa tandale
 
Kweli japo wema ana mapungufu yake lakini huwa anawapenda marafiki zake sana.
Na ana roho nzuri huyu dada.Tusimvue utu wake kisa tu hataki rafiki yake awe na urafiki na adui yake.
Kiukweli hata mimi sitofurahi kumuona rafiki yangu ninayempenda na kila kitu namueleza halafu nimuone na adui yangu.Bora iwe salamu tu lakini ushoga wa kihiiivyo wewe utafurahi kweli Diva Beyonce?

No one is perfect under the sun kiukweli, mi mwenyewe yani mtu hatupatani naye na unajua real situations lakini wewe ndo una side yani kupita maelezo ili mi nionekane mbaya kwakweli sitafurahi hata chembe Nita feel sense ya usaliti nakuona hamna upendo wa kirafiki. Iliwahi kunitokea inaumiza sana tu bora hata kusalimiana na mengine. Ila Ku side majanga hivi vitu watu wajionee tu yakimkuta Wema ila yanaumiza kiukweli.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom