warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,466
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha ha asante binamu kwa kujali.
Sina tatizo lolote kabisa, kuwa na amani tu.
Nasikitika sana wambea wenzangu siku mmepukutika geniveros siku izi haonekani, Dinazarde yupo busy, Heaven on Earth nae haeleweki, akina chige na Matola nao siku izi wamekuwa hadimu, jukwaa linapoa, namis tuwe kama zamani loh, nimeshawazoea kwa kweli, naumia vibaya kuwakosa, Mrembo by Nature nae sijui kapata danga gan uko china ata umbea hataki siku izi mamakibunju nae kakata mguu mazima, Madame B kapata mzungu sijui
Last edited by a moderator: