Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Huyo hamjui wema kadandia basi kwa mbele tena huo ubalozi n wa zimbabwe kma sikosei....mtu kakulia mtaa wenye gest,bar plus madanguro eti ushuani halafu mshauri wke maza wke akili y beki 3

Yani hawa warudi uko instagram wakadanganyane vizur sio humu, tena akome mxiuuui
 
Duuh mnampamba wema nae wakishua kweli majanga.....wema kakulia mtaa wenye bar,gest,madanguro plus wauza mbunye toka lini mori ikawa ushuani.
Huyo hajawahi kua n class au marafiki wenye class zaidi y wauza mbunye w bongo movie,jiulize kwanini marafiki zke wengi w ajabu kuanzia mashoga,wacheza vigodoro jibu cz nae walewale

Huyo nancy nae cyo y kishua hata tone baba yke alikuaga n hela zamani hizo kakulia tengeru nje ya jiji l arusha tena maisha y shambani

Shida siyo kuwa mtoto wa kishua!
Kwa hiyo kama wazazi wangu hawakusoma na kuwa na exposure ndo na mie niwe hivyo.
Nancy yupo vizuri hata kama hajatoka ushuani.
 
Enzi za ujana wangu pale Kijitonyama hostel aka CRDB hostel aka kabinti kalikua kanapita Kakiwa Sec ni family ya kawaida kama watanzania wengi ila naskia kila siku mnamsifia wa kishua

Mwenzangu eti pale sinza mori meeda bar ni pa kishua!!????kha! Tatizo waongeaji wengi kuhusu kwao ni wa mikoan, hawapajui.. naumbu
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu eti pale sinza mori meeda bar ni pa kishua!!????kha! Tatizo waongeaji wengi kuhusu kwao ni wa mikoan, hawapajui.. naumbu

EBu tushangae wote kwanza apa, mxiuuuu wakishua wakat mama ake kutwa kukopa nyanya za watu mxiuuuuuuu wasituchefue, angekuwa anagombania mabwana kutwa apate pesa
 
Last edited by a moderator:
Shida siyo kuwa mtoto wa kishua!
Kwa hiyo kama wazazi wangu hawakusoma na kuwa na exposure ndo na mie niwe hivyo.
Nancy yupo vizuri hata kama hajatoka ushuani.

Maana yangu kua cyo w kishua n wa kawaida tu kma wengine
 
Kama bado anatumia atapotea muda si mrefu au ndo maana dada yake wa hiari anawaumbua wauza unga

Labda kma ameacha ila kuacha huwa ngumu mpka rehab....huyo dada w hiari stress zitamuua mana anatokwa povu kma kala toss tatizo lake hapendi kuona mtu kaendelea,wadada wengi wanauza unga plus mpapa ili kutesa twn ila asemayo ni kweli cz mwisho wke jela au kupasukia tumboni
 
Bado hatujajua wamegombania nini manake hatujui chanzo chaa ugomvi wao
 
Diva Beyonce udaku nilioupata ni kuwa aliyemuandalia hiyo baby shower ni huyo huyo ka.j.a.l.a... Ili kumkill softly mama uzuri.

Itakua aisee huyu mdada ni noma hata kwa kuiba mabwana wa wenzake. Na atakua alifanya kumkomesha aisee ajirudi bana Hata ka Wema alihongwa kumlipia hela ye ana roho ya kipekee aisee.
 
Last edited by a moderator:
Shida siyo kuwa mtoto wa kishua!
Kwa hiyo kama wazazi wangu hawakusoma na kuwa na exposure ndo na mie niwe hivyo.
Nancy yupo vizuri hata kama hajatoka ushuani.

Nancy anajiheshimu sana hata kama ana background ya madongo kuinama. Kikubwa ana uki classy flani hivi unaomfanya aheshimike.
 
Hana marafiki kwani yule kandinda na sijui petit ni akina nani kwake???
 
Nancy anajiheshimu sana hata kama ana background ya madongo kuinama. Kikubwa ana uki classy flani hivi unaomfanya aheshimike.

Maisha yao yalikua poa cz baba yao alikua tajiri kipindi cha miaka ya 90 alikua anachimba tanzanite ila alikua anakaa tengeru,kiukweli nancy yuko poa cyo kma dada yke nakaya
 
Mbona kwa mrekebisha tabia walisema ni dc mako

Hahahahahaa Dinazarde mjanja wewe? Kuna mahali umemtaja vizuri tu hapa naona umeminya kidogo...lol
Hata mimi nasikia hivyo hivyo shoga, kwani yule kaoa tayari? Mimi sijui hilo namuonaga mkaka tu wa kawaida.
 
Last edited by a moderator:
Itakua aisee huyu mdada ni noma hata kwa kuiba mabwana wa wenzake. Na atakua alifanya kumkomesha aisee ajirudi bana Hata ka Wema alihongwa kumlipia hela ye ana roho ya kipekee aisee.

K hana shida wote wauza mbunye tu yani bongo movie n majanga vifua vinawaua sana....hana kosa kumchukua dc cz wote malaya tena wa bei cheee mshahara w dc haufiki hata 1m
 
hapo pekundu siyo kwamba ulimaanisha wilaya? au mi ndo network haijanasa vizuri

Aaarrrggg haraka hizi nazo bwana? Anyways...uzuri tokea mapema niliweka wazi kua leo niko busy that's why nakosea vitu vidogo kama hivyo ambavyo ni kosa kubwa kwa wambea...lol
Ila ile sheria ikishaota meno itabidi tuwe tunapindisha mambo hivi.
Ni wilaya.....
 
Back
Top Bottom