Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

Wema Sepetu: Sina bahati na marafiki

K hana shida wote wauza mbunye tu yani bongo movie n majanga vifua vinawaua sana....hana kosa kumchukua dc cz wote malaya tena wa bei cheee mshahara w dc haufiki hata 1m

K ndo zinawaweka mjini huyo DC kaingia na bwebwe hadi kuparamia changu walioshindikana mjini kwa kutafta kiki.
 
Hana marafiki kwani yule kandinda na sijui petit ni akina nani kwake???

Hahahahahahaa nyie mnataka kutuletea balaa huku sasa.
Wale si wanaume jamani? Tena wana watoto sasa.
Hivi binamu warumi Dinazarde Diva Beyonce jamani juzi kuna shoga yangu alining'ata sikio WhatsApp kua Petit Man mkewe Esma kajifungua mtoto wa kike.
Ni kweli? Maana sijakanyaga insta wiki hii sasa.
 
Last edited by a moderator:
Diva Beyonce udaku nilioupata ni kuwa aliyemuandalia hiyo baby shower ni huyo huyo ka.j.a.l.a... Ili kumkill softly mama uzuri.

Khaaaaa! Mbea mwenzetu leo umetisha kwa habari motomoto.
Nyie kama ni kweli Kajala mbaya sana.Hafai hata bure shetani yule.
Huyo Aunt nae mnafki tu.Angetulia kwa wema asingeshindwa kumpa vyote hivyo.
Subiri huyo Kajala aruke na baba mtoto ndio akili itamkaa vizuri.
 
Last edited by a moderator:
EBu tushangae wote kwanza apa, mxiuuuu wakishua wakat mama ake kutwa kukopa nyanya za watu mxiuuuuuuu wasituchefue, angekuwa anagombania mabwana kutwa apate pesa

c ndo hapo ka ulivyosema hivi mtoto wa kishua +ambassador akaigize muvi cjui tamthiliya za kibongo? Impossible!.. Kwao pa kawaida sana ( au watu wanababaika na kiswanglish chake??). warumi
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha usijali binamu tutavunja vibubu ulipe faini hakuna kwenda gerezani wambea tupo vizuri bwana.
Umbea tunapiga na a/c zinasoma kama kawaida...lol

Umeona eeh? SISi ni wambea wa kisasa bwana, sio wambea wa miaka 47 kutwa kukaa vibarazani kusubiria watu wapite ndo mpige umbea, siku izi tumeendelea, mtu yuko ulaya ila ya uku bongo anayajua vizur kushinda wa uku, ebu tujikumbusheni historia ya umbea miaka ya nyuma, source za umbea ilikuwa ni nini?
 
Hahahahahahaa nyie mnataka kutuletea balaa huku sasa.
Wale si wanaume jamani? Tena wana watoto sasa.
Hivi binamu warumi Dinazarde Diva Beyonce jamani juzi kuna shoga yangu alining'ata sikio WhatsApp kua Petit Man mkewe Esma kajifungua mtoto wa kike.
Ni kweli? Maana sijakanyaga insta wiki hii sasa.

Mie nimeskia mda kweli kuwa wamepata baby girl nawapa hongera zao nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Wema anachuja kwa kasi sana,
Abadili tabia fasta vingibevyo ataitwa zilipendwa
 
hivi disii hana mke au umalaya tu unamsumbua?

Hata mimi hapo ndipo panaponishinda maana na umbea wangu wote sijuagi kama yule jamaa kaoa au lah.
Sasa hadi wewe mtu wa siasani hili hulijui limenitatiza kidogo.
 
Hata mimi hapo ndipo panaponishinda maana na umbea wangu wote sijuagi kama yule jamaa kaoa au lah.
Sasa hadi wewe mtu wa siasani hili hulijui limenitatiza kidogo.

Ila inaonekana ana mke sema ndo hivyo tena anaendekeza umalaya. Kuna mahali binamu kasema hivi.....nasikia kafumwa na mume wa mtu hotelin

Pia Diva Beyonce naye kwa jibu alilonipa hapo juu nahisi naye anasema disii ana mke, sema ndo hivi bado anaendekeza mechi za mchangani
 
Nimejikuta namuonea huruma kiukweli.Lakini tatizo la Wema anapenda urafiki na mastar/malaya wenzie ambao mwisho wa siku huishia kugombana.
Kwanini asiwe na rafiki wa kawaida tu asiyependa mambo ya mjini? Tena awe mdada mwenye shughuli zake za kimaendeleo hakika angembadilisha sana.

una phd ya urafik
 
Back
Top Bottom