Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

Hizi ni ndoto za alinacha. Magufuri ni mashine nyingine kabisa. Mmasai anatandikwa asubuhi tu!

Mashine ya nini kusaga au kukoboa peleka kiwandani kama Mashine ikulu lowasa mavitasa mwisho mlangoni
 
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa

Muwe serious tunapozungumza masuala ya nchi na msilete hapa habari za malaya na wavaa vichupi.
 
Kwenye kura za maoni wema kapata kura 90,kwenye kura za maoni lowasa kapta sufur
 
Wema akitumia vizuri hiyo influence yake kutengeneza pesa anakuwa young millionea so soon.
 
huyu demu alijichoresha yaani..tatizo anapenda shoboo sana...diamond endelea kuwanyoosha tu kama ruler maana hawajielewi hawa pyee
 
Mzito Kabwela u made my day
Daaaah
Eti "bao la mkono mwisho bafuni "
 
Last edited by a moderator:
kahaba la wasanii wa bongofleva na bongomuvi lilitaka kupeleka K yake bungeni.bora hata limekosa.
 
Sio siri kweli huyu Malaya anamtaji wa watu na anawaongoza atakavyo ndio wanafuata
 
huo ni uthibitisho kuwa ccm ni cha mapimbi
 
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa

Nikweli kabisa mkuu umeona mbali ananguvu ya apo danta ..!!
Achagui abagui mkwanja wako tu
 
charty na wewe tena?

hahaha kwani mazigazi kuna mtu ameibiwa..teh penye ukweli tupaseme..huyu dem nilikua nampenda sana ila nimeona ana uwezo mdogo wa kufikirii!! chaaa hivi ushaziona zile picha yuo bed amejiachia kwa yule m-bigbrother luismunana...si anatafuta shobo za kipimbi hakomii tu..ngoja sasa na huyu amnyooshee pyee
 
Back
Top Bottom