Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

Kwenye kura za maoni wema kapata kura 90,kwenye kura za maoni lowasa kapta sufur
 
Wema akitumia vizuri hiyo influence yake kutengeneza pesa anakuwa young millionea so soon.
 
huyu demu alijichoresha yaani..tatizo anapenda shoboo sana...diamond endelea kuwanyoosha tu kama ruler maana hawajielewi hawa pyee
 
kahaba la wasanii wa bongofleva na bongomuvi lilitaka kupeleka K yake bungeni.bora hata limekosa.
 
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa

Nikweli kabisa mkuu umeona mbali ananguvu ya apo danta ..!!
Achagui abagui mkwanja wako tu
 
charty na wewe tena?

hahaha kwani mazigazi kuna mtu ameibiwa..teh penye ukweli tupaseme..huyu dem nilikua nampenda sana ila nimeona ana uwezo mdogo wa kufikirii!! chaaa hivi ushaziona zile picha yuo bed amejiachia kwa yule m-bigbrother luismunana...si anatafuta shobo za kipimbi hakomii tu..ngoja sasa na huyu amnyooshee pyee
 
Back
Top Bottom