KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Wema sepetu ana nguvu kwa ssm maana wanafanana akili...!
Bao la mkono mwisho bafuni...
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa
Wema Sepetu? Ndo nani???
Nakubaliana na wewe ana nguvu za kukata kiuno kitandani lakini si za kisiasa.
Kweli mkuu
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa
Leo Mmasai kaanza kuwanyosha ifikapo tarehe 25/Oct mtakua Mmenyooka kama miale ya Mwanga.