dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,404
- 15,988
Imagine mtu ana age ya 60, 50 halafu anaendesha boda unaweza kuingiwa na maswali mengi sana kwamba nini kimetokeaa hadi Muda huu anakimbizana na vijana wa miaka 20 ,23 na unamkuta anajisifia kabisa kuwa mimi nina miaka 8 kwenye kazi hii.
Unakuta kijana ana 40+ kabisa hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Halafu unakuta wengine wanauza mashamba yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujua kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mimi nilimuagiza kwenda sehemu fulani
Vijana tuweke sana akiba siyo poa kabisa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai
Unakuta kijana ana 40+ kabisa hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Halafu unakuta wengine wanauza mashamba yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujua kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mimi nilimuagiza kwenda sehemu fulani
Vijana tuweke sana akiba siyo poa kabisa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai