Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

Wema Sepetu ana nguvu kuliko Lowassa?

dume

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2007
Posts
310
Reaction score
150
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa
 

Attachments

  • wema.jpg
    wema.jpg
    28.3 KB · Views: 3,075
More strong in terms of Bodaboda waliolipwa kumpokea??
 
Wema amepata kula tisini kula za maoni viti maalumu. Lowassa alipata wadhamini zaidi ya laki nane badala ya mia nne na hamsini. Nakukumbusha wewe uliyeweka huu uzi.
 
Wema amepata kula tisini kula za maoni viti maalumu. Lowassa alipata wadhamini zaidi ya laki nane badala ya mia nne na hamsini. Nakukumbusha wewe uliyeweka huu uzi.
Mleta uzi ni mtazamo wake ni mwembamba hv EL utamlinganisha na chepeo!!? ni sawa na kulinganisha Barcelona na timu ya soka ya Rediko ya Lindi ya kina Madenge ambayo kwa sasa haipo tena.
 
Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa

Ni kweli kwakuwa hata Eva alikuwa hivyohivyo kwa Adam.....!!!!
Forum leo server zinaheat....mods, invisible, paw wote wako hoi na ndio kwanza ni saa mbili kasoro
 
Mleta uzi ni mtazamo wake ni mwembamba hv EL utamlinganisha na chepeo!!? ni sawa na kulinganisha Barcelona na timu ya soka ya Rediko ya Lindi ya kina Madenge ambayo kwa sasa haipo tena.

Sasa Lowassa anaesoma hata jina la mke wake ulitaka tumfananishe na nani?
 
Back
Top Bottom