Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Hayawi hayawi sasa yatakuwa kwa yule mrembo wa Tanzania Wema Sepetu.
Yale ambayo yatafurahisha wapenzi wa mlimbwende huyu yanakwenda kuwa.
Ni yapi hayo! Ni Yale ya kuvaa shela jeupe tena na ndoa ya Kikristo.
Naliona maono mrembo huyo akitoa taarifa kwa watu kuwa anakwenda kuolewa katika kanisa.
Katika maono hayo niliona mrembo huyo akitaja hadi mtumishi atakayefungisha ndoa yake.
Naliona pia akionesha mkono wake na kusema kwa lugha ya kingereza " I make it"
Mwisho wa maono hayo kwa Tanzania sweetheart kama anavyojiita.
Kila la heri Wema Sepetu katika ndoa yako.
Mungu ni mwema amekutendea.
Yale ambayo yatafurahisha wapenzi wa mlimbwende huyu yanakwenda kuwa.
Ni yapi hayo! Ni Yale ya kuvaa shela jeupe tena na ndoa ya Kikristo.
Naliona maono mrembo huyo akitoa taarifa kwa watu kuwa anakwenda kuolewa katika kanisa.
Katika maono hayo niliona mrembo huyo akitaja hadi mtumishi atakayefungisha ndoa yake.
Naliona pia akionesha mkono wake na kusema kwa lugha ya kingereza " I make it"
Mwisho wa maono hayo kwa Tanzania sweetheart kama anavyojiita.
Kila la heri Wema Sepetu katika ndoa yako.
Mungu ni mwema amekutendea.