Kwa mtaji huu wa boda boda na watu, mimi namuona Wema more strong kuliko Lowassa
kahaba la wasanii wa bongofleva na bongomuvi lilitaka kupeleka K yake bungeni.bora hata limekosa.
Atajipeleka mwenyewe................kama Lowasa!!!
Lazima UKAWA watamchukua ana mtaji mkubwa wa watu.
ha ha ha kwa hiyo unataka UKAWA tumchukue?
Watamuomba aungane aongeze idadi ya bodaboda
Nakubaliana na wewe ana nguvu za kukata kiuno kitandani lakini si za kisiasa.
Dah, watu mnaona mbali aisee. [HASHTAG]#madame[/HASHTAG] for presidency 2020Unamzungumzia wema huyuhyu Mwendawazimu? Mtembea uchi,mualibifu wa jamii
AbeeeeLazima UKAWA watamchukua ana mtaji mkubwa wa watu.
OhooooAtajipeleka mwenyewe................kama Lowasa!!!
A MAN WHO SAW TOMORROW!!! sijui mwandishi wa kitabu hiki aliwaza nini!!Lazima UKAWA watamchukua ana mtaji mkubwa wa watu.
nashindwa kuamini tarehe ya bandiko!!!Tusubiri breaking news kesho, watamchukua tu
JAMAA ULIONA MBALI SANALazima UKAWA watamchukua ana mtaji mkubwa wa watu.