Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Diamond ni mchezea wanawake tu!! Wema ndugu yangu nae alishindwa tu kupambanua mambo, wewe hiyo pete unavishwa na mtu akiwa hi na mibangi kichwani tena amelewa chakari, hakuna cha kwenda kwa wazazi na kutangaza nia..........amekaa ndani ya nyumba na kujiona amefika yeye ndo mama mwenye nyumba(Mrs Diamond)., Masikini, kweli wanawake sisi Mungu atuhurumie tu kwani saa nyingine sijui akili zetu tunaweka wapi pindi tukutanapo na mijanaume na kujiona tumefika nymbani!! Kama wenye ndoa zao huwekea nyumba ndogo pembeni itakuwa Wema uliyewekwa kinymba?? wakati umefika sisi wanawake tutambue kuwa wanaume hata wapewe nini hawafugiki ndani ni kama wamelaaniwa vile........
Wema my ndugu kama unapita huku JF, jaribu tu kutafuta life yako, kama ni vidume vipo tu vingi mtaani utapata kwa wakati wake. thamani yako iko wapi hata kama utajiheshimu vipi? heshima ni kuheshimiana, kama huyu diamond leo yuko na jack, jokate nk...(na hao ni hawa unaowajua, je usiowajua) anakudahlilisha tu mtaani. Tupa kuleeee n take ur life
Ila MIJANAUME NDIVYO ILIVYO.... HATA IPEWE NINI LAZIMA TU IONJE ONJE
Wema my ndugu kama unapita huku JF, jaribu tu kutafuta life yako, kama ni vidume vipo tu vingi mtaani utapata kwa wakati wake. thamani yako iko wapi hata kama utajiheshimu vipi? heshima ni kuheshimiana, kama huyu diamond leo yuko na jack, jokate nk...(na hao ni hawa unaowajua, je usiowajua) anakudahlilisha tu mtaani. Tupa kuleeee n take ur life
Ila MIJANAUME NDIVYO ILIVYO.... HATA IPEWE NINI LAZIMA TU IONJE ONJE