Jaman Mbaga wa watu anasingiziwa mambo mazito asiyoyaweza 😸Huyo huyo 😹😹
Bc nang'oa haka kadyudyu, mm nimegoma kumkaza mtoa Uzi 😎😹😹😹 Hatukutoi
Cha msingi mtoto hata njia ya upasuaji ili kupata mtoto haipo kimaandiko wala kiasili technology haisubiri asuli ndio maana leo unavaa suti na viatu kutoka kuvaa ngozi na majaniKwa kutumia IVF!?
Tulia bibie. Sina tabia ya kumsimanga mtu kwa mambo ambayo yako nje ya uwezo wake, endelea kumuomba Mungu ipo siku na wewe utabarikiwaEndelea kujifariji, mnazaa midoli mnaiita watoto, shida akili zenu zimejaa moshi.
Useless fools.
IVF (In Vitro Fertilization) ni njia ya kitabibu ya kusaidia kupata mtoto kwa kurutubisha yai na mbegu za kiume nje ya mwili wa mwanamke, katika maabara, kisha kiinitete (embryo) kinachopatikana hupandikizwa kwenye mfuko wa uzazi.
View attachment 3607139
Maendeleo jamani, zamani sisi wakina baba pekee ndiyo tulikuwa tunaitwa wazazi japo hatuzai ila tunaweka mbegu tu sehemu fulani. Sasa hivi wote mnaweka mbegu sehemu mtoto anapatikana wote mnaitwa wazazi uchwara.Kafanya usanii gani sasa?
Kwani mtoto wa IVF sio mtoto mwenye DNA za wazazi?
IVF imeongelewa na dini gani?,je ungekua wewe unachangamoto hiyo na mwenza wako usingefanyaSio mimba hiyo, Dini, mila na desturi zinakataza
Wewe ni dini gani!?IVF imeongelewa na dini gani?,je ungekua wewe unachangamoto hiyo na mwenza wako usingefanya
Duh ok..Tuache kudiscuss vitu vidogo ,Wema kupata mtoto si jambo la ajabu kwasababu ni mwanamke ,tumeona Janet Jackson amepata mtoto akiwa na 50+ ndiyo iwe ajabu kwa Wema ambaye yupo below 40?
Hahaha alikuwa MLEZI WA WANA.Duh ok..
Anyway enzi zake ukimtokea
Hajuwi kukukatilia anakutunuku tu 😄
Ova
Alipokuj Poland ile nlikuwa hko kna mwanang anaitw adl ahh alimshk mkono kiulainiHahaha alikuwa MLEZI WA WANA.
kweli enzi zile alikuwa na Body counts za kutosha kuanzia Jumbe ,chaz baba,Mr blue ,Kanumba ,TID ,Idris,Clemence,PCK n.k