Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Mimi nimeishia la saba B, hivyo siwezi bishana na mwenye PhD. Leo nilikuwa natembea nikaona gari kadhaa za namba E, nimezipiga picha. Kwa wengine kama mkiyaona yapigeni picha kuonesha utajiri wa watu wa nchi hii.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.
Pia kama ukipita bar au club piga picha nyomi tuone utajiri wa nchi.