Weekend Story! Ugly Benny! (Get Rich Or Die Trying)

Weekend Story! Ugly Benny! (Get Rich Or Die Trying)

Tatizo ushangiliaji wenu sio kabisaaa! Unakeraaaaa. Hapa tu wamenisahau kama Nina mdomo mrefu. Hahaaaa! Ngoma 5 tofauti afu zinapigwa zoteeee kwa mkupuo, Na msaga sumu anaimba ile shabiki wa damu Live. Hatulali huku leoo. Na umeme umekatika basi Simba anatawala anga tu. Hahaaaa! Akajisemea MTU Na miguo yao mekundu ije tu radi moja kuwatia adabu. Hahaaaaa.
Huo ushangiliaji ndio Jadi yenyewe...mamaa
Simbaaaaaaaaaaaaaaaaa hakuna vitwiga wala vitembo leo huko kwenu Tia adabu!
 
Ila pls Lara 1 story, story inatutia wazimu fanya kuimimina hata ka epsod 1 tu. Ee itafaa kwa madumizi ya usiku maana usingizi utakuwa wa kutafuta na tochi
 
Hahah...bendera ya filipino ina rangi ya njano....japo ile nyekundu kidogo pale wamezingua sanaa haha
Teh ngoja nikupumzishe kidogo teh, isalimie hiyo kofia yako. Napenda rangi yake teh
 
Teh ngoja nikupumzishe kidogo teh, isalimie hiyo kofia yako. Napenda rangi yake teh

Hahaha....usiku mwema huyo ni Trey

Kabla hujalala useme "Yanga ni noma" ×3 na kesho utakua na siku poaa sanaaa!
 
Hahaha....usiku mwema huyo ni Trey

Kabla hujalala useme "Yanga ni noma" ×3 na kesho utakua na siku poaa sanaaa!
Pyeee sitaki majinamizi usiku mimi
Sema woyo woyo woyo
Sema siiiiiiiiiiiiiiiimba
 
Hahahah utatupenda na kutukubali tu kimoyomoyo. Nimekoroga super deep nyekundu teh, ni mwendo wa red tu leo. Afu fanya kuniletea ile mishumaa yetu ya kifilipino, na hili shuka jekundu woyoooooooooooooooooo

Hahah nilikua sijaona umetaka na ile mishumaa?

Kwa rangi hizo na masika hii utakula radiiii sio bure kuna mkono wa mtu lala sasa labda asubuhi utakua poa!
 
Lara 1 hao simba wako kwa mda tu hapo juu , mana wanaongoza kwa point 1 na wamewazid yanga na azam mechi moja, kwa hiyo yanga ana mechi kiporo so yanga bado yuko juu,,, njoo utupe utamu huku hao wa simba watalia soon[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Doh kila siku na kila dakika nachungulia humu[emoji15] [emoji15] [emoji15] yan sitaki kuamin kama kwel lara 1 umetuacha njia panda na kutukatil namna hii doh[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Hahah nilikua sijaona umetaka na ile mishumaa?

Kwa rangi hizo na masika hii utakula radiiii sio bure kuna mkono wa mtu lala sasa labda asubuhi utakua poa!
Hahha mishumaa muhimu sana
 
Back
Top Bottom