Weekend Story! Ugly Benny! (Get Rich Or Die Trying)

Weekend Story! Ugly Benny! (Get Rich Or Die Trying)

Tatizo ushangiliaji wenu sio kabisaaa! Unakeraaaaa. Hapa tu wamenisahau kama Nina mdomo mrefu. Hahaaaa! Ngoma 5 tofauti afu zinapigwa zoteeee kwa mkupuo, Na msaga sumu anaimba ile shabiki wa damu Live. Hatulali huku leoo. Na umeme umekatika basi Simba anatawala anga tu. Hahaaaa! Akajisemea MTU Na miguo yao mekundu ije tu radi moja kuwatia adabu. Hahaaaaa.
Naipenda Simba mshabiki wa damu woyoooooooooooooooooo.

Teh tupo break ya kisingeli now KLM, lete story basi bana. Leo kila kitu nimevaa chekundu, Nasubiri na shuka langu jekundu likauke nilitandike. Kama napiga ramli vile teh
 
Jamani lala endelea, duh! umeniacha hoi..... eti na minguo mekundu ije radi iwapige.
 
Naipenda Simba mshabiki wa damu woyoooooooooooooooooo.

Teh tupo break ya kisingeli now KLM, lete story basi bana. Leo kila kitu nimevaa chekundu, Nasubiri na shuka langu jekundu likauke nilitandike. Kama napiga ramli vile teh

Hahaha...

Kumbe unaipenda Simba?

Hapana Ahsante!
 
Hahaha...

Kumbe unaipenda Simba?

Hapana Ahsante!
Hahahah utatupenda na kutukubali tu kimoyomoyo. Nimekoroga super deep nyekundu teh, ni mwendo wa red tu leo. Afu fanya kuniletea ile mishumaa yetu ya kifilipino, na hili shuka jekundu woyoooooooooooooooooo
 
Yaani si kwa Simba kukaa kileleni ligi kuu. Hapa nimejifichaaa. Manake mtaani Simba Na Yanga ni dini, Simba wanafanya kufuru wameleta Singeli, kibati, vanga, kigoma cha urugway, mdundiko na tarumbeta juuu. Na kuna mty kavaa doli la Simba. Si kwa Fujo hilii hapa nime RIP. Ushangiaji huu Magu aupige marufukuuu. Na Hii story ishaingia nuksiiiii, Siimalizii wala nini, manake Ina Simba nyingiii. Tuombe uzimaaa nitakuja kuwapeni story ingineee Mungu akitujaalia sote mbeleni huko. Acheni tu Simba wanikomeshee leo na wiki lote hili.



Wapi huko!?
 
Naipenda Simba mshabiki wa damu woyoooooooooooooooooo.

Teh tupo break ya kisingeli now KLM, lete story basi bana. Leo kila kitu nimevaa chekundu, Nasubiri na shuka langu jekundu likauke nilitandike. Kama napiga ramli vile teh
Hahahaa hebu upload pic maana nimejikuta nacheka,leo unalala ka mganga?
 
Hahaha...uchawi hauendi kwa mentali
Viva Yanga Viva....Yanga imara Yanga imara Simba Makopo Simba Makopo[emoji445]
Hahahaha sijui nikupigie kisingeli cha man fongo...
Twawapa pole polee (hamnaaaa)
Pole Yanga (hamnaaa)
Pole sana (hamnaaa)
Hehehehe heheheheheh

Watani wa jadi mnasemajeeee
Tumejipanga, mwaka huu mtaisomaaaaa

Wacha muisome namba Eeeh, simba mbele kwa mbele
 
Hahahaa hebu upload pic maana nimejikuta nacheka,leo unalala ka mganga?
Hahhahah msishangae kesho sijaamka, sio kwa kukabwa na majinamizi na ushabiki wangu. Subiria kidogo shuka nimejumua mnadani jioni hii hii, linakauka now
 
Hahhahah msishangae kesho sijaamka, sio kwa kukabwa na majinamizi na ushabiki wangu. Subiria kidogo shuka nimejumua mnadani jioni hii hii, linakauka now
Hahahaa, tisha sana..na wewe leo zamu yako kufurahi maana juzi ulikuwa mpole
 
Hahahaha sijui nikupigie kisingeli cha man fongo...
Twawapa pole polee (hamnaaaa)
Pole Yanga (hamnaaa)
Pole sana (hamnaaa)
Hehehehe heheheheheh

Watani wa jadi mnasemajeeee
Tumejipanga, mwaka huu mtaisomaaaaa

Wacha muisome namba Eeeh, simba mbele kwa mbele

Hahaha...wimbo ni wetu huoo

Twawapa pole polee (hamnaaa)
Pole Simbaa (hamnaaa)
Poleni sanaaa. (hamnaaa)

Halafu samahani sana habari za simba usiku nitaota ndoto mbaya mimi

Simba ndio nini sijui ni mtu mnyama msanii au hapanaaaaaa
 
Hahaha...wimbo ni wetu huoo

Twawapa pole polee (hamnaaa)
Pole Simbaa (hamnaaa)
Poleni sanaaa. (hamnaaa)

Halafu samahani sana habari za simba usiku nitaota ndoto mbaya mimi

Simba ndio nini sijui ni mtu mnyama msanii au hapanaaaaaa
Hahaha simba ndo mwanaume wa mjini na jangwani teh
 
Back
Top Bottom