carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,579
- 285,646
Mmhh lara wewee et takoniii hahaa...katika stor zote hii najikuta nashindwa kuchagua team daah
Mmhh lara wewee et takoniii hahaa...katika stor zote hii najikuta nashindwa kuchagua team daah
Ndio maana nilikwambia tuliza nnzuka ati! Movie linaenda mbele linarudi nyuma, hakikisha una kikosi cha fire kabla ya kuwasha moto. Usiliamshe dude! Safari hii mambo ya team unachagua kimoyomoyo unabaki na jibu peke yako. Kungwi amerudi kijantali
Hahaa hii ya safari hii haina team ila naomba tu uendelee kwakwelNikija saa 3 usiku kuandika nikute mshaa ainisha timu zenu kwa herufi kubwa. Nisipokuta orotha ya team zenu siendelei. Mnataka kuleta janja janjaaaa. Hapana leta janja janja mchague team zenu mapemaaaa.
Safar hii lara kaniweza yan najiona nipo team zote tu hapaNdio maana nilikwambia tuliza nnzuka ati! Movie linaenda mbele linarudi nyuma, hakikisha una kikosi cha fire kabla ya kuwasha moto. Usiliamshe dude! Safari hii mambo ya team unachagua kimoyomoyo unabaki na jibu peke yako. Kungwi amerudi kijantali
Upo...?Hahaha nimecheka hapa kama kipanya lol kumbe ndo njiti wanavokuaga duh
Hahaaaaaaaa ili uniweke kwenye mawazo kila nikiona jina la mtu wangu mi naugulia kimya kimya kwanza kwa kweliNikija saa 3 usiku kuandika nikute mshaa ainisha timu zenu kwa herufi kubwa. Nisipokuta orotha ya team zenu siendelei. Mnataka kuleta janja janjaaaa. Hapana leta janja janja mchague team zenu mapemaaaa.