Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Siza kafanya sifuri, Mangi yuko kwa Leila na Mnyalu atarudi kwa Leila!
 
Siza kaaribu sana sikutegemea kabisa maana nilishaanza kumkubali

Aaah wapi. Leila deserved all that kind of shit. Sio kwa ukatili ule aliomfanyia Mangi. Tatizo kisasi chake Ni afadhali ya kikosi kilichoenda kumuua Osama...
 
MH! lara 1 si ndio Leila mwenyewe komando kipensi no retreat no surrender, no escape from Sobibo ntamuweza wapi Mie? Nilishakwambia Mie Mujuni, njoo gheto Na shuka letu moja tujenge maisha....

Hahahaahhahahaahahahahaha akikukinai ujiandae ohoooo sio ndugu yako huyo
 
Khakhaakhaaaaa ila lara jamani eti ingia kwenye jaba khaa!! sio ngongoti kweli
 
Aaah wapi. Leila deserved all that kind of shit. Sio kwa ukatili ule aliomfanyia Mangi. Tatizo kisasi chake Ni afadhali ya kikosi kilichoenda kumuua Osama...
Amna bhana ni kweli alimkosea mangi sana ila siza kaaribu kwa leila sijui wakikutana tena itakuaje yan
 
Hii ina mvuto kidogo endelea basi afu uwe unatupia episodes kuanzia mbili.
 
Si kwa kuukalia woman on top muamala urudishwe, haaaaaaa! Namnyonya mtu damu.

Afu iwe reverse cowgirl... uki slow down ki mkia cha farasi kinachapa maungio ya matraco unaruka tena na kuendelea ku ride...a two hours ride afu muamala narudisha kama kawa!
KILA SHEITWAN NA MPUNGAJI WAKE BANA!
 
Hahahahaaa...mjini shule..kweli haliwi mtu kiboya

Manhood is a Challange.

Nikarudi majogooo kulala. Kuamka nikaona sms hela zimerudi. Moyoni nikasema HII BONGO DARESALAAM ALIEUZA CHENI BANDIA, KAPEWA PESA BANDIA. Maninaaaa kweli. Nikaona missed 10 Leilaaa. Nikaingia kuoga. Haliwi mtu kiboya boya. KWANI TULIANDIKISHANA?

ITAENDELEA KESHO.
 
Khakhaakhaaaaa ila lara jamani eti ingia kwenye jaba khaa!! sio ngongoti kweli

unajua kufumaniwa au unakusikia wewe!?? kuna mtu aliwahi ingia chini ya sofa (kwa kuchana chini)..alikua anamkamua mtu sebuleni kwao mara ndinga ya mshua inapiga honi getini..(siupendi utoto!!)
 
unajua kufumaniwa au unakusikia wewe!?? kuna mtu aliwahi ingia chini ya sofa (kwa kuchana chini)..alikua anamkamua mtu sebuleni kwao mara ndinga ya mshua inapiga honi getini..(siupendi utoto!!)

Dahhhhhhhhhhh balaa hivi amesema itaendelea lini vileee!???
Lol nasubiria reaction ya mnyalukoro kwa hamuuuu
Bado Leila akipona wazimu wake siupatii picha
 
Back
Top Bottom