Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Dahhhhhhhhhhh balaa hivi amesema itaendelea lini vileee!???
Lol nasubiria reaction ya mnyalukoro kwa hamuuuu
Bado Leila akipona wazimu wake siupatii picha

Bwana weee unafikiri anatabirika basi, anaweza kusema itaendelea baadae, ukashangaa kavamiwa na siza mara waanze kufichana kwenye majaba shida tupu. Inabidi tu tuendelee kuchungulia kila mara kama ametupia dude. Munkari ukimpanda anarusha vitu viwili kwa mkupuo usiku mmoja.
 
Bwana weee unafikiri anatabirika basi, anaweza kusema itaendelea baadae, ukashangaa kavamiwa na siza mara waanze kufichana kwenye majaba shida tupu. Inabidi tu tuendelee kuchungulia kila mara kama ametupia dude. Munkari ukimpanda anarusha vitu viwili kwa mkupuo usiku mmoja.

Yeah siku mizimu ya uchagani ikilala anatupiamo mbili mbili
Siku ikiamka anatuchomeshaaaa lol lara nae hatabiriki kama chiu
 
Yeah siku mizimu ya uchagani ikilala anatupiamo mbili mbili
Siku ikiamka anatuchomeshaaaa lol lara nae hatabiriki kama chiu

Hahahaa afadhali sijasema mimi. Yaani tumekua kama mateja, au katulisha nyama ya kiganja?
 
Hii naona ni ya korrodani kabisa hii

Leila anazipika roast, hii series nimecheka sana. Yaani siza na Leila ni perfect match. Nasubiria tu nione nani zaidi....kilichonitoa macho ni ile kusikia Mnyalu anauliza "..we Leila kibamia changu umekionea wapi?..ngachoka, ngadedema...."
 
Leila anazipika roast, hii series nimecheka sana. Yaani siza na Leila ni perfect match. Nasubiria tu nione nani zaidi....kilichonitoa macho ni ile kusikia Mnyalu anauliza "..we Leila kibamia changu umekionea wapi?..ngachoka, ngadedema...."

Team Leila lol
Mnyalu kama kujua Leila anakazwa sana tu anajua vizuriii ila awamu hii mpaka kusikia sauti ya mwanaume mwezio mh ataacha mtu hanis asee ngoja tuone make lara nae kwa kubadilisha gia angani hajambo
 
Team Leila lol
Mnyalu kama kujua Leila anakazwa sana tu anajua vizuriii ila awamu hii mpaka kusikia sauti ya mwanaume mwezio mh ataacha mtu hanis asee ngoja tuone make lara nae kwa kubadilisha gia angani hajambo
Ikiendelea uniambie binamu
 
Nimeona makurasa yameongezeka nikajua mzigo uko hewani!!... huu ulevi utatupeleka pabaya
 
Back
Top Bottom