Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Usikute ata Sally alikua hayupo mda huo ugomvi wote ule asitoke
Kwanza miii naona dee alivoona anaegonga ni msomali aliamua kuvua nguo tuu akasahau kutoa na boxer akafinga taulo ili amrushe roho msomali
Haha you are a genius. Nyie Dee ana mbwembwe mwanaume yule, ila ndo fungu la kukosa kwa Sally. Akapambane na Pendo wake tu
 
amechange sana sasa hivi, alitakiwa arudi kwa magoti kuomba msamaha kwa kutelekeza, sasa kwakuwa kapata visent basi anajiona kijogoo ! by da way me ni team msomali na sally

Sent using Jamii Forums mobile app
Asili yetu wasomali hatuombi msamaha hasa pale tunapojua kuna haki yetu wacha niingize ukabila ingawa niko team Dee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio Msomali..mlimnyanyasa sana msomali mkamuita majina yote mariooo n.k sasa itabidi mnyamaze tu. Hakuna namna. Pesa ipo na mtoto wa kwetu, upepo usipobadilika Sally nae tunaweka ndani. Kumbukeni Betina atakua upande wetu...
Kuna watu wamempandia dau KLM sio bure, haiwezekani matukio yapandiane namna hiyo. Yaani ndani ya mwaka mmoja ashasoma miezi sijui mingapi, ashaanzisha kampuni Kenya ikamlipa hatari, na akaja kuanzisha tz ya madini na utalii pia na ishamlipa balaaa, kashaenda na Dubai kufanya nini sijui!!! Hivi hapo hakuna mkono Wa MTU kweli ktk kumsafisha msomali!!! Hell yeah!
 
Tatizo sio Msomali..mlimnyanyasa sana msomali mkamuita majina yote mariooo n.k sasa itabidi mnyamaze tu. Hakuna namna. Pesa ipo na mtoto wa kwetu, upepo usipobadilika Sally nae tunaweka ndani. Kumbukeni Betina atakua upande wetu...
MZEE WA FP AMEKUJA KUWEKA NA KURUDISHA HESHIMA HAHAAAA TANDIKA WOTE MSOMALI
 
Hahaaaa,....hebu nicheke kisomali mie,watu mnashindwa kulea watoto wenu mnataka wa kisomali mtaweza wapiiii..mwenyewe karudi full masnondooo ,.....hahaaaaaaaaa....naskia raha had nashindwa kuandika hahaaaaaa,...Le msomali Le mbabazzzz ..U know..
 
Kuna watu wamempandia dau KLM sio bure, haiwezekani matukio yapandiane namna hiyo. Yaani ndani ya mwaka mmoja ashasoma miezi sijui mingapi, ashaanzisha kampuni Kenya ikamlipa hatari, na akaja kuanzisha tz ya madini na utalii pia na ishamlipa balaaa, kashaenda na Dubai kufanya nini sijui!!! Hivi hapo hakuna mkono Wa MTU kweli ktk kumsafisha msomali!!! Hell yeah!
Sio bure sweetheart, wamenunua mechi.

Ila hawabebeki, fanani atawamwaga tu!

- KANA -
 
Msomali farao tu naona na yeye analeta tabia za kimama kama tonny,mfyuuu zake
Kaona kupambana na Dee hawezi anamtafuta pendo,she..nzi kabisa
 
Pashaanza kugeuka Nairobiii hapa hapo bado Raila wala Uhuru hajatangazwa mshindi. Wavumao baharini Papa na Nyangumi ila wengi wamo pia
najua Qurie ashategua mtego wa taulo la Dee nyumbani kwa Sally so now unatafuta ku twist ili Dee ashinde,yaani we stori zako zooote lazma 'badboyz' washinde mwisho wa siku,this tym sweetheart shipa jike litakuhusu dadeki!ole wako ubadilishe gia angani walah unaumia..😎
 
Pashaanza kugeuka Nairobiii hapa hapo bado Raila wala Uhuru hajatangazwa mshindi. Wavumao baharini Papa na Nyangumi ila wengi wamo pia
Lazima tuwanyooshe hawa team Raila. Maana juzi wakati Tony yuko kwenye chati walofanya nikaishi kwa masimango!

Alafu hawana msimamo, hawaeleweki kama ni team Tonny au team msomali.

Yani wao ilimradi tu Dee akose!

- KANA -
 
Back
Top Bottom