Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Haha kwendeni zenu huko mkapambane na Pendo wenuMwanaume haanikwi!
Tena sio kwa hogo la Dee.
Sana sana mngetuongezea soko hahaaa!
- KANA -
Haha kwendeni zenu huko mkapambane na Pendo wenuMwanaume haanikwi!
Tena sio kwa hogo la Dee.
Sana sana mngetuongezea soko hahaaa!
- KANA -
Mwanaume haanikwi!
Tena sio kwa hogo la Dee.
Sana sana mngetuongezea soko hahaaa!
- KANA -
Hajapewa mechi?Ni hasira tu za muda zitaisha. Afu Dee ukute hajapewa mechi tangu sally ajifungue. Ila alivyo na hashuo la chura sasa mfyuuu zake
Haha kuna mtu ana mbwembwe kama Dee? Ntacheka siku yenu ya kuumbuka jamani hahaHajapewa mechi?
Kutoka chumbani na taulo unafikiri alikua anafanya nini?
Au ulifikiri ni taulo la kufutia vyombo?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Msomali pumbavu kabisa![]()
![]()
You guyz should be thankful.Kwanini mnalea mtoto wa watu? Tena mmeng'ang'ania hadi ugomvi. Baba mtu kesharudi...
Haha kuna mtu ana mbwembwe kama Dee? Ntacheka siku yenu ya kuumbuka jamani haha
Tonny was there though. Hizo care angezihamishia tu kwa mkewe na mwanaeYou guyz should be thankful.
Msomali amemkimbia Sally akiwa mjamzito, kashonwa nyuzi huko chini, kapata stress kibao!
Bila comfort ya Dee pengine angesha abort au angepata matatizo zaidi.
Dee kasimamia show mpaka Sally amestabilize. Kama kutia mimba hata chizi wa milembe wanaweza. Tatizo matunzo.
Now stop the mocking and hail to the FATHER OF THE YEAR!
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
You guyz should be thankful.
Msomali amemkimbia Sally akiwa mjamzito, kashonwa nyuzi huko chini, kapata stress kibao!
Bila comfort ya Dee pengine angesha abort au angepata matatizo zaidi.
Dee kasimamia show mpaka Sally amestabilize. Kama kutia mimba hata chizi wa milembe wanaweza. Tatizo matunzo.
Now stop the mocking and hail to the FATHER OF THE YEAR!
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Tonny was there though. Hizo care angezihamishia tu kwa mkewe na mwanae
Tulisha sema, kuhusu Pendo na mwanetu mtuachie wenyeweeee!Tonny was there though. Hizo care angezihamishia tu kwa mkewe na mwanae
Haha ana mkewe kule anampenda hatari, ila anajikuta ana kimbelembele na mke na mtoto wa mwanaume mwenzie. Apambane tu na mkinga wake, uzuri Pendo is going nowhere haha, atamsaidia sana Msomali kurudi into his rightful placeTena asikumbushe machungu...hawa si ndio kama akina Mzava kujitia kupenda na kujali wake za watu...hahahahaa
Haha Pendo komaa mama, mwanamke huwezi kuachika tehTulisha sema, kuhusu Pendo na mwanetu mtuachie wenyeweeee!
Tunajuana banaaa
- KANA -
TuwacheeeeeeeeeTeam Msomali hamueleweki mnataka nini!
Wakati mnamfuga huyu average Joe mlikua mnajikosha eti love and care ndo kila kitu!
Katelekeza familia kisa vijisenti, tayari mmeshabadili gia. Eti mshakua team pesa hahaaa!
Na mkitaka ligi mtaishia jela, zile smuggling business zitawatokea puani!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Hell no!Bottom line, we own and run the show!!
Hell no!
You own the fruit, we own the tree!
- KANA -
Mshapotea mchezoni, mpaka mnakimbilia mahakamani si mchezo!Haha Pendo komaa mama, mwanamke huwezi kuachika teh
Tulisha sema, kuhusu Pendo na mwanetu mtuachie wenyeweeee!
Tunajuana banaaa
- KANA -
Mshapotea mchezoni, mpaka mnakimbilia mahakamani si mchezo!
Dee kawashika pabaya team al-shabab
- KANA -