The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Hahhaa mbona ingekuwa ya Dee ningepotea humu
Tungepotea wote! TWH ingeishia hapohapo hata kabla ya kuanza
Hahhaa mbona ingekuwa ya Dee ningepotea humu
Our story teller is a striker hashindwi kitu....
We subiri utaona
Hiii inatokea saana yaaan na huwa sijuagi inasababishwa na nini......?Unaweza kuingia mp na mimba kabisa
Japo ni rare thing lakini kuna watu imewatokea kabisa
Pale unapopata mimba ya mtu hata haumpendi
Kwakweli haya maeneo sio maeneo mazuri kwetu.Team kujicontrol
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Hiii inatokea saana yaaan na huwa sijuagi inasababishwa na nini......?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata siamini hizi habari!!Pale unapopata mimba ya mtu hata haumpendi
Kwakweli haya maeneo sio maeneo mazuri kwetu.
Mi nipo honey, nipe mualiko tyuu!Kwakweli haya maeneo sio maeneo mazuri kwetu.
Sitaki hata kuamini.Haha kasome mama, ila kunywa kwanza maji ya baridi urelax
Haha Mungu ni mwema sanaTungepotea wote! TWH ingeishia hapohapo hata kabla ya kuanza
Acha niwe mpole kwanza hadi next epi..nijue mimba ya nani
Weee hata haitokiYaani hata siamini hizi habari!!
Na huko kuumwa umwa sijui ndio itatoka!!
Alafu kumbe aliuza mechi aiseeeeh!!!
Mimba zina viranga jamani!! Nazo hazionagi pa kunasa khaaaah!!!Afu mtu ukiwa huna future naye, mimba inaingia haraka teh. Basi unabaki tu duniani hupataki, akhera hufiki
Haha Mungu ni mwema sana
Umefurahiiiiii!!! Hizi taarifa sijui dee atazipokeaje!!Haha nashukuru ndo sehemu ilowanyima chance kwa Sally woyoooooo
Zote ni kaliii!,,ila kwa kuwa umetaka nichague moja nitafanya ivoHivi katika story zoote za lara 1 ipi unaipenda zaidi maana zote ni nzuri na tuna jifunza na ku enjoy sana lakini naamini kila mmoja anayake ilio zidi zinginge so fungukeni wapendwa
Mimi kwa upande wangu naipenda zaidi DARE THE DEVIL AND FACE UR OWN GHOST
Naombeni majibu fan wa story za lara 1 akina
Samaritan espy Shunie Heaven Sent carbamazepine -KANA- Tarime one MUDUKU womanhood PSNO lara 1 The Don mahondaw G Magpie sherberry Linamo Manga ML Latoya Gertie Papizo binti kiziwi Mr Q griffin2 moneytalk brenda18 and everybody else
PLZ nijibuni wakati tukisubir muendelezo wa episode inayo fuata
shukran kama upo maana nilikumissNko hapa mpendwa nakimbiza mwizi kimyakimya
Director katuchezea hapa.Atazaa tu hana namna mana alikuwa anataka mtoto...ila natamani hii mimba ingekuwa ya Dee...sijui nikamnunulie director mchemsho daah
Yani hadi nimeshangilia..tony katuokoa team roho mbayaDaaa kweli nina roho mbaya. Yani Sally nimekupendajeee, wapi team Dee? Tonny kwa niaba ya msomali, tunakushukuru sana sana.

