Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Hivi katika story zoote za lara 1 ipi unaipenda zaidi maana zote ni nzuri na tuna jifunza na ku enjoy sana lakini naamini kila mmoja anayake ilio zidi zinginge so fungukeni wapendwa
Mimi kwa upande wangu naipenda zaidi DARE THE DEVIL AND FACE UR OWN GHOST
Naombeni majibu fan wa story za lara 1 akina
Samaritan espy Shunie Heaven Sent carbamazepine -KANA- Tarime one MUDUKU womanhood PSNO lara 1 The Don mahondaw G Magpie sherberry Linamo Manga ML Latoya Gertie Papizo binti kiziwi Mr Q griffin2 moneytalk brenda18 and everybody else
PLZ nijibuni wakati tukisubir muendelezo wa episode inayo fuata
The man of the people, desperate na shabiki wa simba na yanga ule uswazi wa muleee basi mswazi me alinipata
 
Baba yeyoo hawara hana talaka ujue

Mama Yeyoo nimeamua tu kiroho safi nikae pembeni rafiki. Naona ubuyu umekuwa ubuyu kelikweli, aunt espy kanikaba koo sipumui sifanyi chochote... na mie kawaida yangu ni kijiepusha na matatizo kabla hayajanikuta. Nilishaambiwa na lara 1 kujiepusha na matatizo haimaanishi mie ni dhaifu..japo yeye mwenyewe komando kipensi, mama ubaya kubwa la maadui surenge rambo checki noris balaa tupu.

Nimenawa rasmi Mama Yeyoo...naumia kama Msomali alivyokua anaumia kimyakimya kwa Sally pale mwanzoni mwanzoni.
 
Back
Top Bottom