Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Subiri tuone kamanda nako Mara nyingine analaliaga upande subiri tuone mwisho de na ama msomali


Kamanda na yeye unafikiri hapendi kuonekana Font Ferd? Anaweza kuzungusha game ukashangaaa kabisaaaa? Dee na Msomali mwisho ukawa tofauti na tunavyofikiria. Roho mbaya najua hawataki kuona Al-Shabab anaondoka hata na mia ya Sally, wanatamani Dee aibuke kidedea kwa Sally...ndugu wasomaji hadi sasa hivi team yangu naona kabisa muda sio mrefu tutaanza kutafutana.
 
Worya wa mahaya sshv anauza cm na jolline alishamwambia ckuile club kua acbweteke kwa sally,ambacho hamjui msonjo ni mchumi mbaya kajiwekea akiba akivunja kibubu mtatafutana walah!

Watu wanamchukulia poa Shabaaab, wasomali wanajua biashara, umario alikua anaweka msingi tu apate mtaji. Siamini atakua mjinga kiasi hicho ajibweteke tu asiwe na kibubu kweli? Sema wanawake na nyie akili zenu mkishapata pesa hamtaki mume ila mnataka huduma ya kiwango cha juu...inafika mahali mnaaanza kutiliana wivu. Hapo kunawatu wanamtolea udenda Msimali...kwanini agandwe na Sally kuasi kile? Kweli mnategemea akina Marioo waishe?
 
Ila mwanaume akiwa hana pesa sio siri ni kitu kibaya sana kwake!

Yaan kugongewa nje nje

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni Kweli kabisa witnessj hata mimi siku hizi na experience hiyo hali yaani hata papuchi unapewa kwa ratiba yake. Ukipewa ofa usiulize hela ilikotoka na full masemango daaah!!! Ratiba ya kutoka pamoja ni yake sio yako we unabaki "just in case" yuko boadi. Mwanaume pesa suruali kivazi tu.
 
Dadekiiiiiii

Men will always be men!

Yani Dee bado anataka kupasha kiporo kwa Sally?

Yani kaamua kushindana na msingi kiuno?

I didn't see this coming!

- KANA -
Pole sana, na msomali ndio ashapendwa hivyo
 
Back
Top Bottom