Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Shunie husband umemuacha na nani??..Ahahhah muhenga mie
Shunie husband umemuacha na nani??..Ahahhah muhenga mie
Acha tu amtilie kitumbua mchanga akili imkae sawaIla huyu kidudu MTU anayetamani show za msomali atakuja kuharibu na hivi papa De asharudi atamtumia huyu fisadi kumharibia msomali kwa sally.
Subiri tuone kamanda nako Mara nyingine analaliaga upande subiri tuone mwisho de na ama msomaliMguu mmoja ndani mmoja nje hana akili msomali angejiwekea viakiba vyake pembeni hata siku ya mwisho kinanuka anajua atajipanga vipi
Ndioo hawara hana talaka mbavu zinaniuma



lakini ni kweli ujue wahenga waliona mbali jaman na misemo yao
Hayupo kaboom jaman amesafiriShunie husband umemuacha na nani??..
Alivyofukuzwa kwa eva akili ya kutafuta angepata sema anaendekeza umariooMguu mmoja ndani mmoja nje hana akili msomali angejiwekea viakiba vyake pembeni hata siku ya mwisho kinanuka anajua atajipanga vipi
Na kweli lara haeleweki ujue hakawii kubadili gear anganiSubiri tuone kamanda nako Mara nyingine analaliaga upande subiri tuone mwisho de na ama msomali
Sijui nichukue nafasi kama msomaliHayupo kaboom jaman amesafiri
Duuh...Pole..Vumilia..Utaletewa zawadi ya ushindi..Hayupo kaboom jaman amesafiri
Marioo wana waza basi hayo ye akishajua analelewa anaingia mazimaAlivyofukuzwa kwa eva akili ya kutafuta angepata sema anaendekeza umarioo
Duuh...Pole..Vumilia..Utaletewa zawadi ya ushindi..



asante sana kaboom
He he unataka kulelewa eeenhSijui nichukue nafasi kama msomali
Si unaona msomali hamuachi sally. Kiuno msingi. HahahaaahaaaaaHe he unataka kulelewa eeenh
Umarioo ni kipaji aiseehMarioo wana waza basi hayo ye akishajua analelewa anaingia mazima
Hayupo kaboom jaman amesafiri
Na kweli kila mtu na kipaji chake watu wanarelax kabisa sababu ya kulelewaUmarioo ni kipaji aiseeh
Na moyo pia wanaoNa kweli kila mtu na kipaji chake watu wanarelax kabisa sababu ya kulelewa
Umarioo ni kipaji aiseeh