Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Mshampatia mtaji wa simu, kesho mtamhonga ghorofa. Sasa nani hapendi kitonga!

Yani al-shabab kapata maganda ya ndizi, full kutelezaaa

- KANA -
Ukishazoea kitonga ni wa kitonga tu. Atajikuta anabaki hivyo hivyo. Labda angekuwa na akili ambazo pia naona hana!!!
 
Unafikiri kwenda Congo kuzisaka ni mchezo?

Ingekua rahisi al-shabab asingekuja kudhalilika hapo msingi kiuno.

Naona siku zake zinahesabika!

- KANA -
Kwani huko alikoenda si aliishia kutapeliwa!!
 
Dee na msomali akili zao zinalingana, huyu ana nyota ya kukopwa.
Acha kumfananisha Dee na watu wa ajabu ajabu!

Dee so msingi kiuno, alivyoona relationship haina future aliamua kusepa kiume. Angekua boya kama al-shabab angekaa hapo akaendelea kufugwa!

- KANA -
 
Back
Top Bottom