Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
He he zamu yenu yaja kutesa kwa zamuAhsante mama vyungu
He he zamu yenu yaja kutesa kwa zamuAhsante mama vyungu
Sijawahi kucheka kama leo, shikamoo DeeHe he zamu yenu yaja kutesa kwa zamu
Cheka mama wakati wako huu ujueSijawahi kucheka kama leo, shikamoo Dee
Eeeh, wewe ulikuwa unaangalia wapiMamy kumbe ni hapa ndio ulipokua unasema
Iliisha ila watu wakapanda dau stori inaendeleaKwaniii hii si iliiisha au mm ndio sielewi jamaan mpaka msomali kakamatwa
Nilienda entertainment ujue nikajua kuna kitu kipya huku najua kitu kiliisha kumbe kimeendelezwa
Hii ni mupyaa kwahiyo msomali ataachiwa eenhIliisha ila watu wakapanda dau stori inaendelea
Ndo tunasubiri muendelezo hapaHii ni mupyaa kwahiyo msomali ataachiwa eenh



Halaf na nyie watoto wabaya kinoma, kuna uchochoro flani nomewakuta! Sio mchezoNilienda entertainment ujue nikajua kuna kitu kipya huku najua kitu kiliisha kumbe kimeendelezwa
Ndugu wasomaji hii avatar ipo kimkakati. Na majadiliano mazito yanaendelea na modes nipate ID kama ya lara 1 ili akipindisha story tu, tunashika uskani kumalizia story kama tunavyotaka wenyewe team Msomali.
Ila kwa uungwana na heshima ya team alshabaab, naamua kuitoa ila tutatafuta njia mbadala. Mpinzani wetu mkubwa anabaki kuwa Deee, hatudanganyiki na longolongo za KLM kuhusu B.
Acha tuendelee kusubiriNdo tunasubiri muendelezo hapa
Uchochoro upiii tena kulikua na ninii KANAHalaf na nyie watoto wabaya kinoma, kuna uchochoro flani nomewakuta! Sio mchezo
- KANA -
Oooh pole luvNilienda entertainment ujue nikajua kuna kitu kipya huku najua kitu kiliisha kumbe kimeendelezwa



kwema humuNtakuquote nikikatiza tenaUchochoro upiii tena kulikua na ninii KANA
Santee kipenzi