Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Au kule kwenye uzi aliofunguliwa moneytalkNtakuquote nikikatiza tena
- KANA -
Au kule kwenye uzi aliofunguliwa moneytalkNtakuquote nikikatiza tena
- KANA -
Ukistaajabu ya Team Dee, kumpa ofa kuntuuu ya kumnunulia Msomali KY, utayaona ya Team Msomali kusherekea hasimu wao Dee kukutwa na Tunguli.
What i dont get is why Samaritan ndo anatupiwa lawama zote za ufisadii?????????? WHY KWANINI. Nyie ngojeni nisha ahidi HII STORY ISIPOKULA TIGO LAZIMA IKUPIGE CHUMA MBOGA. MPAKA TEAM B MTAFURAHIA SHOW.



Ahahhhh muache moneytalk bhanaMambo mazito
- KANA -
Acha nijichekeeJamaniii KESHO SAA 4 USKIKU HATMA YA MSOMALI ITATOLEWA HAPA THE HAUGE. Mje na KY kabisaaaa. Kutesa kwa zamu.







Halaf na nyie watoto wabaya kinoma, kuna uchochoro flani nomewakuta! Sio mchezo
- KANA -
Samaritan ndio aloapeal story iendelee, na anajulikana kwa kukuhonga. Kwahiyo tunasubiri tu tuone natuthibitishe.
Haya.Mie mtoto wa mkulima wa kutoka sijui kigonsera malampaka ntakua na ubavu wa kuhonga? Mtu mwenyewe wa kuhongwa na mie nani, KLM? Hahahaaa rudi shule ukamalizie kozi uliyobakisha
Haya.
Kwa niaba ya wanajukwaa, ningependa kukushukuru kwa hujuma unazozifanya!Hivi umeshamaliza ule msimbazi uliotunukiwa na KLM? Hahahaaa ile ilikua kifuta machozi. Meli la wagiriki ndio linang'oa nanga. Balaa lake sasa ukizamia!!
Unataka kuanzisha tena upya jaman, najuta mwenzioNa we ulale
- KANA -
Sio kwa niliyoyaona leo!
hahahaa yale niyakuchangamsha genge tu, ndo maana ukanikimbia mazima sioSio kwa niliyoyaona leo!
- KANA -
Sina namnahahahaa yale niyakuchangamsha genge tu, ndo maana ukanikimbia mazima sio
Sent using Jamii Forums mobile app