Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Kwa niaba ya wanajukwaa, ningependa kukushukuru kwa hujuma unazozifanya!

- KANA -

Hujuma wapi bingwa? Nimewekwa mtu kati eti hadi avatar yangu nuksi.
Watu wabaya sana.

Ila team Dee naona ukombozi umekaribia. Ole wetu wale wa Msomali, kesho itakua Chechnia kama sio Kandahar
 
Mie team alshabaab Msomali mwanzo mwisho WA dahari na kombe tunanyanyua iwe kwa faulo ushindi wa fitna halali ama juju.
anhaaaa!
kumbe chama moja!
manake mi ile siku ya kutoa full picture msomali alinivurugaaa!
 
anhaaaa!
kumbe chama moja!
manake mi ile siku ya kutoa full picture msomali alinivurugaaa!

Team moja ila leo ndio roho mkononi patashika nguo kuchanika. Najua tu hatma ya Msomali itatoka leo....

Dee keshakaangwa ila naona kabisaaaa mbele kuna mwanga mzuri kwake, sio kwa maombi yale. Kama ugonjwa kapona hapo kuna nini tena? Nilishashona sare ya kwenda mazikoni na kupigilia msibani. Hahahahaaa
 
Team moja ila leo ndio roho mkononi patashika nguo kuchanika. Najua tu hatma ya Msomali itatoka leo....

Dee keshakaangwa ila naona kabisaaaa mbele kuna mwanga mzuri kwake, sio kwa maombi yale. Kama ugonjwa kapona hapo kuna nini tena? Nilishashona sare ya kwenda mazikoni na kupigilia msibani. Hahahahaaa
yani naona kabisa kuna tigo imekwanguliwa vocha wallahi!
we sally ni kutafuta mchungaji kweli ?
kabisa sally atoe milioni mbili sadaka?
halafu unaona zigo anahamishiwa Pendo.eti jinni makata linamfata Kilolo!
ujue huyu lara toka mwanzo hampendi msomali!
KAMFANYIA FITNAAAAAAAAAAAA AONEKANE DOMO ZEGEEE,tukanyamaza!
kafanya fitna aonekane wa kubebwa tuuuuu tukanyamaza
kafanya fitna aonekane anakula mtaji wa biashara,tukanyuti tu
kafanya fitna aonekane anazamia uk kwa harusi sie tupo tu
kafanya fitna aonekane baba asiyewajibika sie aaaaanhhaa
SASA NAONA KABISA DEEE PAMOJA NA MITUNGULI YAKE!
ANAKUWA MAN OF THE PEOPLE AGAINST ALL ODDS PARTNER!
mana amebeeeeeeeeeeeeeebwa deee jamani!
KUJIFANYA ANA MAPENZI BORA KAMA SHABAANA ROBERT!
wakati ana miunzinzi yake kibao!
HAISIMULIWI!
tunaambiwa tuuu juu juu,sijui Samantha sijui nani wa benki!
ILA HATUPEWI ANAWALAJE TIGO NA HALOTEL!
lara 1 SHUBHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMIT KWELI!
 
huyu mwanamke@Lara1 na msauti wake ule wa kuny***sha atakuja kupatwa na kitu kibaya sana kuwapendelea bad boyz hata kama odds zinakataa.....we muache tu!
 
Ripota wenu wa ripoti ya MAKANIKIA ndo naingia mitamboniii! Naona wanachi mna hasiraaaa sana na mimi! Hahaaaa! Mmekuja na vilainishi lakini maana shughuli si nyepesi!

Mayonise na giligilani (in mwalubadu's voice) isikosekane kwenye listi ya vilainishi
 
Back
Top Bottom