Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Ila haumshukuru Mungu kwa nguvu ya maombi Dee kaanza kupona? Sie team Msomali hatima yetu bado haijulikani ndugu msomaji. Naona B anataka kuja kuweka mambo hadharani kwamba Baba Huddah guantanamo inamhusu..unafikiri itakuaje? Kwa mbaaali naona kabisaaa kismas cha Dee na Sally sio cha nchi hii.
Mshaurini msomali ajisalimishe kwa gwajima amuamshie dude mapemaaaa.

Alafu hebu kati yenu aloiba avatar ya mwenzie arudishe, mnatuchanganya. Sijui mlikubaliana na lara 1 au ni part ya deal la kumsafisha msomali ila its anoying.
 
Unategemea nini wakati Sally mwenyewe Komando Kipensi Bibi Ubaya mithili ya KLM?

Nimechfka sana, eti Sally na familia yake wanasali sana...nna walakini sana uponyaji wa Dee na uchaji Mungu wa Sally, sio nzuri sana kwa sie team Msomali.
Naomba ubadili avatr mkuu, please!
 
Baada ya Lara 1 kumaliza story, then from no where akaibuka na kusema inaendelea, I knew what was coming ahead!

You guyz just stole our victory and it ain't fair. You robbed our victory!

Masaa mawili naangalia tu nashindwa nicomment nini!

Tumewashinda uwanjani, mkaenda kutafuta point mezani. I'm having a bad day and it's all thanx to you!

Any way, no matter what happens there are two words you'll never hear, KANA QUIT!

I STAND WITH DEE

- KANA -
Samaritan always anaplay dirty, na lara 1 anacheza muziki wake.
 
Nilivyosikia stori inaendelea nilijua tu lazima Dee akaangwe
Kwakuwa director uneamua basi sawa
Asitutanie, tunasubiri dude, maana kaanza kumsafisha msomali kwa kujifanya B ana maongezi na saly, na anajua akimweleza saly ukweli hawezi kukubali baba mtoto wake akaangwe huku akiwa anaangalia.
lara 1 nakuombea tezi jike lile liloshindwa kumpata MOTP.
 
Asitutanie, tunasubiri dude, maana kaanza kumsafisha msomali kwa kujifanya B ana maongezi na saly, na anajua akimweleza saly ukweli hawezi kukubali baba mtoto wake akaangwe huku akiwa anaangalia.
lara 1 nakuombea tezi jike lile liloshindwa kumpata MOTP.
Kuna mtu anampandia dau aandike anavyotaka yeye si bure
Naona dalili ya msomali kusafishwa
Yaani nimejikuta nakosa mzuka wa kuendelea kusoma tena
 
Back
Top Bottom