Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Mshaanza mambo yenu ya kuhongana humu ili gia zibadilishwe uh!! Nausubiri huo mwisho nikiwa disapointed again ndio basi tena kwakweli.
Fanani kanunuliwa bila shaka maana haiwezekani story iwe imeisha then tuambiwe part ya mwisho inakuja angesema part2 ningeelewa kuna mtu kamnunua si bure tena ni team msomali
 
Fanani kanunuliwa bila shaka maana haiwezekani story iwe imeisha then tuambiwe part ya mwisho inakuja angesema part2 ningeelewa kuna mtu kamnunua si bure tena ni team msomali
Na sio mwingine bali ni Samaritan ndio huwa anamnunua sana lara 1 na story inakwenda vile anataka yeye. Hata last time ilikuwa hivyo hivyo.
 
Fanani mwenyewe ashaadmit kuwa umemfanya hadi hana hamu nawe, hapo unategemea nini tena!!!

Ndugu yangu huyo. Huenda nimemkurupua huko alipokua kwenye mihangaiko ya maisha tulipoanza kuichokonoa hii story, ndio maana hana hamu na mimi.

Ki ukweli sijachenjua wala kufanya hila yeyote, na sijawahi hata mara moja ku influence ubuyu kupitia kwa fanani zaidi ya kuburuzana baina ya team zetu hapa jukwaani. Vinginevyo itakua kupoteza utamu na ladha adhimu kwenye hizi hadithi.
 
Back
Top Bottom