carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,617
We jitetee tu ila ukweli ndio huo bwana.Ndugu yangu huyo. Huenda nimemkurupua huko alipokua kwenye mihangaiko ya maisha tulipoanza kuichokonoa hii story, ndio maana hana hamu na mimi.
Ki ukweli sijachenjua wala kufanya hila yeyote, na sijawahi hata mara moja ku influence ubuyu kupitia kwa fanani zaidi ya kuburuzana baina ya team zetu hapa jukwaani. Vinginevyo itakua kupoteza utamu na ladha adhimu kwenye hizi hadithi.
Haujambo kabinti special?
Yaani acha tu, kama namuona lara anavyokuja kuwapa team msomali ushindi wa mezani. Samaritan mlichofanya mungu anawaona.
Msifanye lara 1 akaamua na kitu kipya kabisa ndani ya makaratasi nikimaanisha ubuyu wa moto kabisa. Sio kwa tuhuma hizi..nasisitiza tena sijawahi kuingilia mwenendo wa story yeyote. Ila kuna kipindi nakaimu nafasi ya Jecha!
Sijambo momma, za upotevu?Haujambo kabinti special?
Hahahhaaaaa! As if unawezaa kuingilia story, sasa kama ni hivo wewe huna haja ya kufatilia ni kukaa kwenye sofa lako na kunipa maelekezooo! Hahaa! Ila chupi ilikuwa inakuba kama wengine hahahaaa! Jamani hata nikichelewa zigo la dhambi lajaaaaa mslilale kesho Eid
Mnateteana huh!!!Msifanye lara 1 akaamua kuja na kitu kipya kabisa ndani ya box na makaratasi yakenikimaanisha ubuyu wa moto kabisa. Sio kwa tuhuma hizi..nasisitiza tena sijawahi kuingilia mwenendo wa story yeyote. Ila kuna kipindi nakaimu nafasi ya Jecha!
Hahahhaaaaa! As if unawezaa kuingilia story, sasa kama ni hivo wewe huna haja ya kufatilia ni kukaa kwenye sofa lako na kunipa maelekezooo! Hahaa! Ila chupi ilikuwa inakuba kama wengine hahahaaa! Jamani hata nikichelewa zigo la dhambi lajaaaaa mslilale kesho Eid
Mlolongo unadhihirisha hilo vizuri kabisa.Msifanye lara 1 akaamua kuja na kitu kipya kabisa ndani ya box na makaratasi yakenikimaanisha ubuyu wa moto kabisa. Sio kwa tuhuma hizi..nasisitiza tena sijawahi kuingilia mwenendo wa story yeyote. Ila kuna kipindi nakaimu nafasi ya Jecha!
Njema kabisa kipenzi, missed youSijambo momma, za upotevu?
Njema kabisa kipenzi, missed you![]()
![]()
![]()
Good night sweetheart, sooooo sleepy.
You too.Be you! when you sleep my friend.
Missed you momma, haya kapumzike kesho unipikiepo pilau.Njema kabisa kipenzi, missed you![]()
![]()
![]()
Good night sweetheart, sooooo sleepy.
Missed you momma, haya kapumzike kesho unipikiepo pilau.
Haha are you invited?Unipitie tukapige ubwabwa!








yaani timu msomali, lala akiisoma hii mtakaangwa na mlie
. Timu Dee thank me later!