Sure Sir awesome...
I am glad to read your reply I am contented but if you don't mind mention the individual problems solved just by names as in contraints names....
Thanks
Pastor haeleweki kama bunduki, mbele chuma, nyuma mbao. Hapo nimecheka mpaka wanangu wanashangaa imekuwaje tena..
Hahahhaha! Namhurumia sana huyo Tito hiyo mvua ya matusi atayokula huko ofisini kesho yake...Yaani sipati picha....Una laki unatoka na demu? Hata Uswazi siku hizi laki haitoshi!
Khaa, Lara, hii kali, umeuaaa. 'Anajifinya kuona kama hajakufa' LOL
Yani hii story kadiri muda inavoenda ndivo inapozidi kuwa tamu zaidi.
Leta mambo, saa nne hiyoo...