Moorio
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 407
- 587
Hata me pm kwa simu hazifungukag aisee na siwez soma we unafanyeje?Ooh ok!!but mbna kwa simu haizingui wala nini?mi natumia simu pia au kuandika kwa simu unaona untek tym ndefu kutype??
Hata me pm kwa simu hazifungukag aisee na siwez soma we unafanyeje?Ooh ok!!but mbna kwa simu haizingui wala nini?mi natumia simu pia au kuandika kwa simu unaona untek tym ndefu kutype??
Ooh ok!!but mbna kwa simu haizingui wala nini?mi natumia simu pia au kuandika kwa simu unaona untek tym ndefu kutype??
Hahahaha yeuwiiii eti iphone 6Simu hazifanani, mimi natumia mchina hapa, unasumbua sanaaa sio kama Iphone 6 yako dear. Nikitulia nikafungua I pad au Laptop nitakujibu tu.
niringèemaana kuna watu wengi wamekuwa matajiri na umaarufu mkubwa sababu ya mbio.Hahahhaha! Namhurumia sana huyo Tito hiyo mvua ya matusi atayokula huko ofisini kesho yake...Yaani sipati picha....Una laki unatoka na demu? Hata Uswazi siku hizi laki haitoshi!
tumia app za android jf au tapatalk,Hata me pm kwa simu hazifungukag aisee na siwez soma we unafanyeje?
Haahhaaahhaaahh!! Nimecheka sana, So ww kuzaliwa mwanamke unashukuru sana kuliko ungezaliwa mwanaume.Hahahaaaaa! Mishahara yenyewe 500,000 kutoka ukachoma 100,000 nzima ujue sio rahisi. Mi ndo maana namshukuru Mungu kila siku nimezaliwa mwanamke, sipati picha ningezaliwa mwanaume ingekuwajeee. Ningeteseka sanaaaa.
Okay mkuu ila sijakupata bado mana hapa natumia jf kwa simu naomba ufafanuzi kidogo tafadhaltumia app za android jf au tapatalk,
Haahhaaahhaaahh!! Nimecheka sana, So ww kuzaliwa mwanamke unashukuru sana kuliko ungezaliwa mwanaume.Hahahaaaaa! Mishahara yenyewe 500,000 kutoka ukachoma 100,000 nzima ujue sio rahisi. Mi ndo maana namshukuru Mungu kila siku nimezaliwa mwanamke, sipati picha ningezaliwa mwanaume ingekuwajeee. Ningeteseka sanaaaa.
download app inaitwa tapatalk ipo playstore,tumia hiyo ku log in jfOkay mkuu ila sijakupata bado mana hapa natumia jf kwa simu naomba ufafanuzi kidogo tafadhal
Aaaha asante mkuu ngoja nifanye hivyodownload app inaitwa tapatalk ipo playstore,tumia hiyo ku log in jf
ubarikiweAcha hizo wewe.....ukiwa na laki kuna sehemu zake unatoka na demu bila shida! Ujanja ni kujua sehemu tofauti sio una laki unavamia CT fish market au Mediteranno lazima uumbuke.Hahahhaha! Namhurumia sana huyo Tito hiyo mvua ya matusi atayokula huko ofisini kesho yake...Yaani sipati picha....Una laki unatoka na demu? Hata Uswazi siku hizi laki haitoshi!
hapo kinachofata ni viola kubeba mimba ya Raul, issue sio tu muokoa jahazi,he is not that good in bed kama nakumbuka vizuri,kila siku mambo yanazidi kuwa magumu kwa pastor na viola kuwa pamoja..sijui kwanini always love life zinakuaga complicated arrghRaul deilee anaokoa jahazi kwa Violla na Violla anajua sana kumtumia I wish ndio mtu wanawezana waoane tu hakuna namna nyingine
hahaaaaaa! ndo zile sehemu laki si pesa millioni deni! hahaaaaa! Nilipataga mwanaume wa hivi laki si pesa millioni deni, nilikula bataaaaa. Siku ya kuachana niliumwa Malaria 8. Sitosahau. Hahahaaaaaa!Acha hizo wewe.....ukiwa na laki kuna sehemu zake unatoka na demu bila shida! Ujanja ni kujua sehemu tofauti sio una laki unavamia CT fish market au Mediteranno lazima uumbuke.
wanaume wameumbwa mateso teh huo mshahara augawe kwa vitu vingi,sasa hapo T alikuwa akope kisa dinner ya siku moja,bado hata hajamla V teh teh... mpaka siku ya kumpata kweli kweli sijui angekopa saccos... lakini cheki pastor mpaka sasa hajatumia hata laki kwa viola....Hahahaaaaa! Mishahara yenyewe 500,000 kutoka ukachoma 100,000 nzima ujue sio rahisi. Mi ndo maana namshukuru Mungu kila siku nimezaliwa mwanamke, sipati picha ningezaliwa mwanaume ingekuwajeee. Ningeteseka sanaaaa.
Hhhhahhh malaria 8 munguuuuu me ningeumwa malaria 20 mwanaume mwenye hela alafu asiwe bahili ana raha yake bwanahahaaaaaa! ndo zile sehemu laki si pesa millioni deni! hahaaaaa! Nilipataga mwanaume wa hivi laki si pesa millioni deni, nilikula bataaaaa. Siku ya kuachana niliumwa Malaria 8. Sitosahau. Hahahaaaaaa!