Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Kuna part imenigusa hasaa yaani nilijiona me ni violla ile msg ya mpawa loooooh kuna wakati unakua unasubiri msg matata kutoka kwa hubby ghafla ikiingia unakuta ni mpawa haaaaa


unapenda vimeseji eeh !!
 
Chezea Raul wewe! Kwa fitina hana mpinzani.
Wapi pastor kiboko alipotoka akawa haamini kama katoswa vile kaenda kubana kona akawa anasikilizia maumivu mara kelele mara Raul anafurumushwa hapo pastor akaona patient pay kama analia vile na ule usongo ndo break mdomoni.
 
Ila pastor nae mmh kujifanya mbishi na.vifungu mia nane yakamfika hapa sio kwa kubana getini usiku wote ule bahati yake
raul alitoka .
 
hahaaaaaa! sasa si ndo nitakuwa nimefikisha 55 kwenye hayo makadirio yako. Alafu mbinu zenyewe ulizojua ni 1 wakati zipo 11. hahaaaaaaa!
Ukiongeza mbinu na mimi naongeza makadilio ya miaka ila kwa leo nimejikuta naji duble kwenye ongezeko kutoka miezi mpaka miaka 5 zaidi.
Kweli wewe ni kubwa la maadui hivi unakaa ushuani au uswazi?
Hizi maneno na vitimbi vitimbi watoto wa Geti nadra sana kuwa navyo,ila kwako nashindwa ku emegine
 
Kuna wakati mtu unakosa maneno ya kuielezea dhana fulani kama nilivyokosa maneno ya kuuelezea ubora wako Lara 1... nilianza kufuatilia maandiko yako mwaka 2013. Nakumbuka zaidi ya robo tatu ya watu walikuwa wakikupinga na kukuona kama wakala wa shetani. Miaka mitatu mbele hakuna hata comment moja inayokupinga. Ni muda mfupi sana umefanikiwa kubadilisha mtazamo wa watu kukuhusu wewe.
Japo nilifurahia maandiko yako ila nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na mtazamo hasi kukuhusu ila leo mimi ni shabiki wako mkubwa, hongera sana. Huwa naandika stori huko fb, nina wadau wangu wananikubali ajabu, nawaza tu siku wakiijua jamiiforums na zaid wakakujua wewe, aisee biashara yangu itakuwa katika hali ngumu.
Nakuruhusu chagua story moja ukaishee huko ujifanye yako, mimi wala sitosema kabisaaa. Ukibambwa mimi simoooo.
 
NO! Ubora wangu ni directly propotional to EXPERIENCE. Hahahaaa! Kuna watoto 18yrs mimi nakaa chini napewa darasa, nachukua notice kabisaaa.
Yaani sina maneno ya kuelezea jinsi ninavyoenjoy hizi story zako...be blessed!
 
Lara 1 najua unajua nakukubali. Hujaniangusha kwa episode hizi mbili, we ndo mkali ya jf kwangu maana haiwezi kupita siku sijakusearch kujua kipi kipya umetupati. Big up
 
Back
Top Bottom