Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Mxiewwwwwwww,sometime muwage humble basi mnazani Sie hatuumii.....yani ningekuwa mie ningekuwa simjali pia na asirogwe kuniuliza chochote au kunisemesha,coz kila jibu lingekuwa kamuulize Dada ako,kashauriwe kwa Dada ako,kamuombe dadako
Mwanaume wa hivi ukitumia nguvu nyingi siku zote atakuwa mshindi yeye tu.
Tunajijua sisi wala utakuwa humkomoi kwa sababu hata yeye atataka kukuonyesha kuwa anaweza/anajua bila hata uwepo wako,Kwenye mawazo yake atakuwa anataka kukuonyesha anaweza wewe unataka ajue unamkomoa utakuwa ukiumia tu.
 
Mwanaume wa hivi ukitumia nguvu nyingi siku zote atakuwa mshindi yeye tu.
Tunajijua sisi wala utakuwa humkomoi kwa sababu hata yeye atataka kukuonyesha kuwa anaweza/anajua bila hata uwepo wako,Kwenye mawazo yake atakuwa anataka kukuonyesha anaweza wewe unataka ajue unamkomoa utakuwa ukiumia tu.
Aisee ukiniona wanini ntakuona wakazi gani,naweza kukaa na mtu nyumba moja bila kumsemesha hata mwaka,tukapishana tu as long hakuna emergency yoyote itakayotokea kwa muda huo,me mwenyewe loner.... Kwanza nipo busy na kazi,taking care of my kids and my lovely parents,hapo bado sijaweka muda na Mungu mbona npo occupied sana kujipendekeza kwa mtu asiyenotice wala kuapprrciate uwepo wangu,wooiiiiiiii atasubiri mno
 
Aisee ukiniona wanini ntakuona wakazi gani,naweza kukaa na mtu nyumba moja bila kumsemesha hata mwaka,tukapishana tu as long hakuna emergency yoyote itakayotokea kwa muda huo,me mwenyewe loner.... Kwanza nipo busy na kazi,taking care of my kids and my lovely parents,hapo bado sijaweka muda na Mungu mbona npo occupied sana kujipendekeza kwa mtu asiyenotice wala kuapprrciate uwepo wangu,wooiiiiiiii atasubiri mno
We jitie kiburi ukikutana na mwanaume wa hivi huwa ni wanaJeuri hatari Dada angu hasa ikitokea Emegency.
Anajisemeaga Lara 1 lazima achukue point 3.
Dawa ya wanaume wa hivi (nakumegea siri) Uwe bwege kwake mbona kila kitu utapata.
 
We jitie kiburi ukikutana na mwanaume wa hivi huwa ni wanaJeuri hatari Dada angu hasa ikitokea Emegency.
Anajisemeaga Lara 1 lazima achukue point 3.
Dawa ya wanaume wa hivi (nakumegea siri) Uwe bwege kwake mbona kila kitu utapata.
Nakubaliana nawe. Dawa ya mwanaume yeyote ni kujishusha na kuwa mpole. Speaking from experience
 
Yeey,nataka violla adate na pastor not that chubby Raul guy.... lara 1 sa ngapi tena unashusha nyingine
 
We jitie kiburi ukikutana na mwanaume wa hivi huwa ni wanaJeuri hatari Dada angu hasa ikitokea Emegency.
Anajisemeaga Lara 1 lazima achukue point 3.
Dawa ya wanaume wa hivi (nakumegea siri) Uwe bwege kwake mbona kila kitu utapata.
Sio kiburi,am just being fair.... Si imeandika mfanyie wenzenu mnayotaka kufanyiwa na wao,maybe it's what he really wants.

Yanini kujipendekeza na kuwa kero kwa binadamu mwenzako,ofcoz am gonna mind my own bznec.
 
Hatimaye violla becomes Mrs Pastor.....kohkohkoh,I can't wait......
Hahahaa, hatimayee...hivi kuna sehemu lara kamuelezea appearance ya pastor maana in my head pastor yuko vizuri,HB flan hivi alafu hana mkeee heee, alafu hashobokei wadada hovyo lasivyo angekuwa ashamkula yule rafiki wa viola...mmh pastor is too good to be true,sijui majanga yake ni yepi na yeye,nasubiri kwa hamuuu....
 
Hahahaa, hatimayee...hivi kuna sehemu lara kamuelezea appearance ya pastor maana in my head pastor yuko vizuri,HB flan hivi alafu hana mkeee heee, alafu hashobokei wadada hovyo lasivyo angekuwa ashamkula yule rafiki wa viola...mmh pastor is too good to be true,sijui majanga yake ni yepi na yeye,nasubiri kwa hamuuu....
Kamwelezea,ana misuli huyooo Hadi kwenye suti inachomozaaa,Alf yupo smart,mrefu,type ya mashinji....teh
 
Nakubaliana nawe. Dawa ya mwanaume yeyote ni kujishusha na kuwa mpole. Speaking from experience
Correction my dear, sio kila mwanaume unatakiwa ujishushe kwake wakati wote (nimeongelea tu generally). Kujishusha kwako, kuwa mvumilivu, mpole kuwe na kikomo. Ujifanye kuvumilia hadi ufe kwa pressure, vipigo na magonjwa yasiyotibika ndo uvumilivu gani?. Unaangalia na Vitu vya kuvumilia, kuna wanaume ukiwa mnyenyekevu sana, utatiwa hadi pilipili machoni. Talking from experience too lol
 
Hii story kama vile unaitupiamo fupi...yaan nikisoma tu nashangaa nakutana na neno ITAENDELEA ...au utamu umezidi ndo maana naona fupi!!
kama vipi irefushe kidogo Lara1
 
Laraaa baada ya naipendaga yanga shabiki wa simba,ulikuja ipiii.nimekua mtegaji.....io tar 30 hatariii....ntatimba,in sha allah
 
Ukisikia kofia ya u pastor imedondoka au imemvuka mtu, ndio linaloenda kutokea saa 4 usiku ya njoo nyumbani.
 
Naona kama kwa pastor kuna mwanamke wa pili na tatu pia. Hayo maono yangu sasa hivi nimeoteshwa.
 
Back
Top Bottom