brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Hahaha,wewe ni addicted na tamthilia mpaka kwa lagata upo...Asante naisomea ndani ya shuka nikimaliza kuchek Lagata
Hahaha,wewe ni addicted na tamthilia mpaka kwa lagata upo...Asante naisomea ndani ya shuka nikimaliza kuchek Lagata
Kuna watu wanatafuta wanawake ambao ni wife material haijalishi una kilo 300 au 20. As long as youre beutifull inside someone will notice that and love you. Ila diet usiacheTeh ulivyosifia body la pastor, nikakumbuka body la undertaker mcongo uwii. Bonge na nyota yake, naomba na yule alokimbia nyumba kisa wifi na yeye nyota ya Jaha imuangukie
Huwa nampenda lerato...sana...loooh Umfundisi Gabriel of Holy Water ministries... he is hot chomie (in Lerato's voice)
Hawa ndugu wanataka ukiwa bonge, uwe tu bonge kwenye hips na tako, futuka na huku juu uone mweee. Ila ni vizuri kumaintain mwili bana, hata kama ukiwa bonge unakuwa ubonge wa afya. Kuna unene unazidi hadi unakuwa threat ya afya yako wewe mwenyewe jamaniKuna watu wanatafuta wanawake ambao ni wife material haijalishi una kilo 300 au 20. As long as youre beutifull inside someone will notice that and love you. Ila diet usiache
Hunishindi... she us such a character!!!Huwa nampenda lerato...sana
Ila mbona na wao umri unavyosogea wanapata vitambi Ila hatulalamikiHawa ndugu wanataka ukiwa bonge, uwe tu bonge kwenye hips na tako, futuka na huku juu uone mweee. Ila ni vizuri kumaintain mwili bana, hata kama ukiwa bonge unakuwa ubonge wa afya. Kuna unene unazidi hadi unakuwa threat ya afya yako wewe mwenyewe jamani
Hahaha labda wewe unakuwa comfortable naye, ila wao shape ikibadilika tu kidogo ni shughuli.Ila mbona na wao umri unavyosogea wanapata vitambi Ila hatulalamiki
We acha tu nshawahi ambiwa nimenenepa kama ng'ombe nikasema kuanzia siku hiyo ntafia gym.ila ukiwa in good shape hata self esteem inakuwa juu hasa ukiwa tayari umezaa.Ila mbona na wao umri unavyosogea wanapata vitambi Ila hatulalamiki
Daah pole sana aisee kuna watu wana maneno makaliWe acha tu nshawahi ambiwa nimenenepa kama ng'ombe nikasema kuanzia siku hiyo ntafia gym.ila ukiwa in good shape hata self esteem inakuwa juu hasa ukiwa tayari umezaa.
Aisee kwakwel ulikuwa na haki ya kushinda gym... teh!We acha tu nshawahi ambiwa nimenenepa kama ng'ombe nikasema kuanzia siku hiyo ntafia gym.ila ukiwa in good shape hata self esteem inakuwa juu hasa ukiwa tayari umezaa.
Hahaha baba chanjaz oyeeeKina baba chanja wetu wana shida sana, mi mwembamba lkn bado mtu anakwmbia angalia usiongezeke... chaaa!
Hahahaa, ni mtihani,nilishaambiwa hivyo niangalie kitambi na hapo niko very slim nikilinganisha na wengine,sasa sijui niwe na abs kabisa,tehKina baba chanja wetu wana shida sana, mi mwembamba lkn bado mtu anakwmbia angalia usiongezeke... chaaa!
We utaenda kwa Marando au Lyamba Limfipa kunakutoshavipi na sie tulie mpanda
unatusaidiaje
Naona wanatka tukipta barabarani tupeperushwe na upepo..!Hahahaa, ni mtihani,nilishaambiwa hivyo niangalie kitambi na hapo niko very slim nikilinganisha na wengine,sasa sijui niwe na abs kabisa,teh
Kwa Raju Hakuna dili nowadays, twende mtaa wa fisiKu
Kumbe na katavi mpo, tutaandaa yetu pale Kwa laju