Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

na kweli, mtu ukimwachia nyumba yako atajiona ka win pakubwa. Muoneshe maza haus ni nani. Ila hawa mawifi sometimes unaweza ukaona kuolewa na ndugu yao was the biggest mistake of your life.
Nlishawah kumwacha mtu kisa hichohicho,yeye kila kitu Dada zake mxiewwwwww
 
Violla alibambwa!hizi ndio hadithi zile fungua vyumba vyote kasoro hiki ndicho kimemtokea huyo dada.
 
Lara1 ... Njoo basi mwaya! Wenzio addiction inatutesa hukuuu. Njoo ututibu maradhi yetu
 
Nlishawah kumwacha mtu kisa hichohicho,yeye kila kitu Dada zake mxiewwwwww
Sasa ulikuwa hujaolewa naye ilikuwa bahati kwako. Ndoa ndo umefunga na mume wampenda ndugu zake sasa?! sometimes bora kuwa bandidu mazoea hukohuko ukikanyaga kwangu utapiga kazi mpaka ukimbie. ukizingua unakula makofi.
 
Hakumjibu pastor wala nini? Akaendelea na mambo yake mengine ikiwemo kuchat na Raul! Usiku ukapita huo. Kesho kazini akaingia kama kawaida ready to slay! Pendo akamuita Violla, kuwa ameona uwezo wake, na angependa washirikiane katika kazi zao. With them together nothing is impossible. Violla akaitikia moyoni akajua tu no together! Hapa kazi tu, utaisoma namba. Ila siasa za ofisni unacheka huku moyo mweusiiii.

Akawa anakuna kichwa race afanye tukio gani lizidi kumuweka kwenye ramani. Hapati muafaka, anakuna tu kichwa, holaaaa. Akakaona ngoma nzito. Ila ile tamaa ya kuji out perform, akaendlea kukuna kichwa. Akaona kama tukio hamna basi kampuni yao iandae tukio. Ndio! Akadreft proposal akaifoward mbele, event ya beach party ya watoto yatima. Vituo sita, wanamziki wakubwa kumi, zawadi za kutoshaaaa, burudani ya kutoshaaaa. Budget yake usipimeeeee.

Kikaa kikaowe can pull this off, for half the budget! Kikosi kazi kikaingia kazini, wakapiga mpungaa, wakagawana mapema kabisaaaa. Siku ya siku akawa hana hata stress. Akajua mambo yatakuwa byeeee! Wote wakawepo kikosi kazi na kama kawaida wame mu exclude Pendo na boss wont share their glory with anybody.

Saa 8, hakuna mtu, saa 10 holaaaaa! Mvua ikashukaaa ya balaaaa. Kuwapigia vituo wakaanza kutoa sababu za ajabu ajabu kuwa hawatoweza kufika. Wasanii wakaburudisha wateja kwenye beach si wamelipwa chao? Show must go on! Wakaimbia beach tupu pale, hakukuwa hata na maana ya kutupia picha. Waandishi ikabidi achikue mshiko wake aliopiga awazibe mdomo, wasipost picha wala kuandikaaa.

Jumapili akashinda na maleria kali sanaaaaa. Jtatu hakwendaaa, jnee hakwendaaa. Jtano akatinga ofisini, akaambiwa Lau karesign jumatatu ile ile. Akajua tu oficially her career is over. Ashakiwa unreliable katika kazi. Basi Pendo mnafiki akaandaa event week inayofata akamuweka front Sessy. Kina Side hawamuangalii usoni. Akahisi tu kuna namna.

Akamfata Lau kwake akamuuliza what happened? Akaambiwa Pendo alipanda dau, akawatoa kishkaji wahujumuuu. Sasa alishikwa akili na Sessy. Sema jtatu alivoingia akaona anarudia kazi yake ya kuwa invicinle tena it is not how he wants to spend the rest of his life. Akajutia ujana wake aliopoteza pale, scared doing nothing, hajiamini, anapelekwa pelekwa. Akaona kuna maisha mengine so kaacha kazi apige tu dili zake zingine.

Akamuuliza Sessy kapata nini? Akasema alivosikia kaahidiwa na Pendo idara mpya ya PR yeye ndo atahead. Sasa coz umri umeenda, shule hanaaa, familia inambana hakuwa na choice ya kuwaza mara 2. She had to do something for herself! Hivo yani. Too bad it costed her, her career.


Wiki 2 nyingi Pendo akatangazwa new head of PR, Side akachukua nafasi ya Pendo, Sessy akabakia pale pale. Siku alivotangazwa Pendo akamfata Violla, kumwambia if it is meant to be it will be. God is good. Violla akamwambia hongeraaa. Pendo yuko jiandae kuwa in my new team, and by now najua umejifunza not to tryanything funny. Violla akamwambia tu, sorry i played dirty. Pendo akatia "Appology accepted" Mda wa kutoka Violla akatuma resignation.

Akawa anashinda nyumbani, kula kulala na kuchat na Raul! She became more vicious than ever. Anamuona kila mtu mbayaaa. Akiwa na Raul anakuwa kama yupo yupo tu, just going along. Raul anajitahidi kuwa understandingna nini! Anakuwa mbunifu wa sehemu mpya, na nini ila Violla walaaaa hayupoooo.

Dada yake akamtafutia interview ya kazi, kufika kule hana mood kabisaaa na maishaaa. Anaulizwa kwanini tukuchukie wewe? Anajibu kwasababu nataka kufanya kazi tu, haijalishi wapi, shilingi ngapi, maslahi, nataka kufanya kazi moja kwa zotee katika hii kampuni yenu mpaka siku nitakapo kufa. Siendi likizo, siendi popotem sitoomba chochote. Wakaanaliana.

Hajafika nyumbanikapigiwa simu kazi kapata akaanze. Kesho kafika pale kasign mkataba bila kuusoma. Akawa anaenda kazini kama golf. Yupo kama hayupooo. Hapo kazini kupya boss wake akawa mkarimuu, anambeba sio kidogo. If you want to talk kibaoooo.

Dada yake akamwambia basi zaa, utapata tena hamu ya kuishi mdogo wangu. Mbona Raul mtu mzuri tu., zaeni tu muishi wote! Moyoni akajiona tu ana settle ila hajapata life partner. Na umri unakimbia, watu wanamwambia ngoja Raul aoe ndo uishi peke yako uone rahaaa.

Basi ikawa kama wanaishi wote, akitoka kazini anaenda kwa Raul. Hivo akahamia kidogo kidoho. Baadae akaja kujua ile laptop inafungiwa sababu ndo creative zake zote zipo humo. Alivoacha ambition ya kazi, Raul akawa haifichi tena ile laptop. So anaona kabisaa project zake.

Jaribu mimba, jaribu hakuna kituuu.Ikawa sasa kapanic, ikabidi aende hospital, akaambiwa hana tatizo lolote amuombe Mungu tu. Ndo akamkumbuka yule Pastor. Akaipiga ile namba, ikapokelwa, akajitambulisha mimi flani, maelezo kibao akaambiwa namba yako ninayo. Njoo ofisini tuongeeee. Wakapanga siku ya kuonana

Yule shoga mwenye wifi gubu akampigia kuwa aliondoka kwake, akamfukuza na dada wa kazi, kakaa kwao wiki 2, mwanamume hamfati wal nini. Kupeleleza mwanaume hana dada wala HG, Anafanya kazi zote ,wenyeweee, wanae kawazoesha wakitoka shule chuka kwa friji wanapasha tu. Wanaangalia katuni. Akija usiku ana deki na kufua nguo za wanae na kupikaaa. Tobaaaaa! Kadata afanyaje. Violla akamwambia rudi
Safari hii usipishane ubavu na wifi yako. Mpe ushindi wa mezanii. Usiwazee sanaaaa. Akikuchokoa muache tu ashinde. Akitaka kitu,wambie sawaaa. Mnavo shibdana ndo anapenda. Akamwambia sawa.

Alipoenda kwa pastor, alamwambia tu, i see another woman in your relationship. Tobaaaaa!

ITAENDELEA KESHO SAA 5 ASUBUHI
 
Hakumjibu pastor wala nini? Akaendelea na mambo yake mengine ikiwemo kuchat na Raul! Usiku ukapita huo. Kesho kazini akaingia kama kawaida ready to slay! Pendo akamuita Violla, kuwa ameona uwezo wake, na angependa washirikiane katika kazi zao. With them together nothing is impossible. Violla akaitikia moyoni akajua tu no together! Hapa kazi tu, utaisoma namba. Ila siasa za ofisni unacheka huku moyo mweusiiii.

Akawa anakuna kichwa race afanye tukio gani lizidi kumuweka kwenye ramani. Hapati muafaka, anakuna tu kichwa, holaaaa. Akakaona ngoma nzito. Ila ile tamaa ya kuji out perform, akaendlea kukuna kichwa. Akaona kama tukio hamna basi kampuni yao iandae tukio. Ndio! Akadreft proposal akaifoward mbele, event ya beach party ya watoto yatima. Vituo sita, wanamziki wakubwa kumi, zawadi za kutoshaaaa, burudani ya kutoshaaaa. Budget yake usipimeeeee.

Kikaa kikaowe can pull this off, for half the budget! Kikosi kazi kikaingia kazini, wakapiga mpungaa, wakagawana mapema kabisaaaa. Siku ya siku akawa hana hata stress. Akajua mambo yatakuwa byeeee! Wote wakawepo kikosi kazi na kama kawaida wame mu exclude Pendo na boss wont share their glory with anybody.

Saa 8, hakuna mtu, saa 10 holaaaaa! Mvua ikashukaaa ya balaaaa. Kuwapigia vituo wakaanza kutoa sababu za ajabu ajabu kuwa hawatoweza kufika. Wasanii wakaburudisha wateja kwenye beach si wamelipwa chao? Show must go on! Wakaimbia beach tupu pale, hakukuwa hata na maana ya kutupia picha. Waandishi ikabidi achikue mshiko wake aliopiga awazibe mdomo, wasipost picha wala kuandikaaa.

Jumapili akashinda na maleria kali sanaaaaa. Jtatu hakwendaaa, jnee hakwendaaa. Jtano akatinga ofisini, akaambiwa Lau karesign jumatatu ile ile. Akajua tu oficially her career is over. Ashakiwa unreliable katika kazi. Basi Pendo mnafiki akaandaa event week inayofata akamuweka front Sessy. Kina Side hawamuangalii usoni. Akahisi tu kuna namna.

Akamfata Lau kwake akamuuliza what happened? Akaambiwa Pendo alipanda dau, akawatoa kishkaji wahujumuuu. Sasa alishikwa akili na Sessy. Sema jtatu alivoingia akaona anarudia kazi yake ya kuwa invicinle tena it is not how he wants to spend the rest of his life. Akajutia ujana wake aliopoteza pale, scared doing nothing, hajiamini, anapelekwa pelekwa. Akaona kuna maisha mengine so kaacha kazi apige tu dili zake zingine.

Akamuuliza Sessy kapata nini? Akasema alivosikia kaahidiwa na Pendo idara mpya ya PR yeye ndo atahead. Sasa coz umri umeenda, shule hanaaa, familia inambana hakuwa na choice ya kuwaza mara 2. She had to do something for herself! Hivo yani. Too bad it costed her, her career.


Wiki 2 nyingi Pendo akatangazwa new head of PR, Side akachukua nafasi ya Pendo, Sessy akabakia pale pale. Siku alivotangazwa Pendo akamfata Violla, kumwambia if it is meant to be it will be. God is good. Violla akamwambia hongeraaa. Pendo yuko jiandae kuwa in my new team, and by now najua umejifunza not to tryanything funny. Violla akamwambia tu, sorry i played dirty. Pendo akatia "Appology accepted" Mda wa kutoka Violla akatuma resignation.

Akawa anashinda nyumbani, kula kulala na kuchat na Raul! She became more vicious than ever. Anamuona kila mtu mbayaaa. Akiwa na Raul anakuwa kama yupo yupo tu, just going along. Raul anajitahidi kuwa understandingna nini! Anakuwa mbunifu wa sehemu mpya, na nini ila Violla walaaaa hayupoooo.

Dada yake akamtafutia interview ya kazi, kufika kule hana mood kabisaaa na maishaaa. Anaulizwa kwanini tukuchukie wewe? Anajibu kwasababu nataka kufanya kazi tu, haijalishi wapi, shilingi ngapi, maslahi, nataka kufanya kazi moja kwa zotee katika hii kampuni yenu mpaka siku nitakapo kufa. Siendi likizo, siendi popotem sitoomba chochote. Wakaanaliana.

Hajafika nyumbanikapigiwa simu kazi kapata akaanze. Kesho kafika pale kasign mkataba bila kuusoma. Akawa anaenda kazini kama golf. Yupo kama hayupooo. Hapo kazini kupya boss wake akawa mkarimuu, anambeba sio kidogo. If you want to talk kibaoooo.

Dada yake akamwambia basi zaa, utapata tena hamu ya kuishi mdogo wangu. Mbona Raul mtu mzuri tu., zaeni tu muishi wote! Moyoni akajiona tu ana settle ila hajapata life partner. Na umri unakimbia, watu wanamwambia ngoja Raul aoe ndo uishi peke yako uone rahaaa.

Basi ikawa kama wanaishi wote, akitoka kazini anaenda kwa Raul. Hivo akahamia kidogo kidoho. Baadae akaja kujua ile laptop inafungiwa sababu ndo creative zake zote zipo humo. Alivoacha ambition ya kazi, Raul akawa haifichi tena ile laptop. So anaona kabisaa project zake.

Jaribu mimba, jaribu hakuna kituuu.Ikawa sasa kapanic, ikabidi aende hospital, akaambiwa hana tatizo lolote amuombe Mungu tu. Ndo akamkumbuka yule Pastor. Akaipiga ile namba, ikapokelwa, akajitambulisha mimi flani, maelezo kibao akaambiwa namba yako ninayo. Njoo ofisini tuongeeee. Wakapanga siku ya kuonana

Yule shoga mwenye wifi gubu akampigia kuwa aliondoka kwake, akamfukuza na dada wa kazi, kakaa kwao wiki 2, mwanamume hamfati wal nini. Kupeleleza mwanaume hana dada wala HG, Anafanya kazi zote ,wenyeweee, wanae kawazoesha wakitoka shule chuka kwa friji wanapasha tu. Wanaangalia katuni. Akija usiku ana deki na kufua nguo za wanae na kupikaaa. Tobaaaaa! Kadata afanyaje. Violla akamwambia rudi
Safari hii usipishane ubavu na wifi yako. Mpe ushindi wa mezanii. Usiwazee sanaaaa. Akikuchokoa muache tu ashinde. Akitaka kitu,wambie sawaaa. Mnavo shibdana ndo anapenda. Akamwambia sawa.

Alipoenda kwa pastor, alamwambia tu, i see another woman in your relationship. Tobaaaaa!

ITAENDELEA KESHO SAA 5 ASUBUHI
Lara....i wish nikipata mtt wa kike awe na akil kama zako .....
 
Wiki 2 hakuna kufuatwa...Huyo ndio mwanaume na kazi zote anazipiga mwenyewe.
Tunaita maamuzi magumu,
 
Naandaa hiyo program one weekend baada ya Pasaka kwa wakazi wa Dar. Arrangement is very simple nunua vinywaji vyako na kama utaamua kuwa na vya ziada kisha tunakutana katika eneo la kati ya majengo ya Coco Beach na eneo panapouzwa Mihogo kuna sehemu pale imetulia na hapo tunakunywa na ku mingle mpaka night kali.
Hili eneo unalolisema giza likishaingia kunakuwa hakuna usalama,hata wana usalama wakikukuta hapo wanakwambia usogee kule kwenye mishikaki/kitimoto. Mmmejiandaaje kuhusu usalama?!
 
Akamwambia subiri kwanza, another woman how? Akamwambia tu, navoona mtu wako ana wanawake wawili. Akasema haiwezekani Pastor, nimefatilia nimechunguzaaa sana hamna kitu kama hiko. Pastor akamwambia how about i pray God shows you exactly the situation? Mmmmmh! Hataaaaaaaaa! Akawa hayupo conviced. Ila akamkubalia. Basi Pastor anasema mimi nitaingia kwenye mfungo maalumu wa siku 7 kuombea hilo swala. Mungu atakuonesha katika njia ambayo hutaamini. Akaaga zake akarudi nyumbani hajui sasa aamini nini.

Njiani akapitia kuchoma sindano za uzazi wa mpango just incase what the pastor is saying is true, japo alikuwa hamuamini amaini manake ashajua pastor anamtaka leo, kesho. Kumwambia hajamwambia bado ila ile kumsoma mtu na kumuelewa kiundani. Akajiuliza huyo mwanamke mwingine lazima atakuwa ofisini kwake, bora afanye upelelezi. Kesho akaenda kazini kama kawaida, mda wa lunch akaenda kula maeneo wanayokula Agrrey and Clifford, akaanza kufosi ushosti na wadada wa mule ndani. Ikawa kama siku 4 anakula maeneo yale na akawa keshawaozea sasa wale wadada.

Akaamua kuchombeza aone itakuwaje, Hivi Raul ana mke jamani, mbona mzuri namna ile? Wakaangaliana na kuanza kumwaga ubuyu. Shoga mwanaume mgumu yuleeeee, ofisini tumemtega, tumemtega lakini wapiiiii. Hategeki wala nini. Mgumuuuu. Afu kinachoboa yaani anakuchekea kabisaa, anakuwa mkarimu anajihakikishia ataniambia soon, lakini hakwambii lolote, utashangaa siku zinaenda tu. Looooohhhhh! Wakawa wanamsifia sifia tu pale, pasipo kuwa na anything useful. Akajua huyo mwanamke Ofisini hayupo. Akawa kwa Raul hajaonesha kuchange ila anaendelea na upelezi.

Kazini akazidi tu kuwa bored kabisaaaa. Uhusiano haueleweki, akawazaaa, akaona amcheki pastor, for consultation. Akaomba date na pastor. Kufika pastor akamwambia nimeona kwenye ulimwengu wa kiroho you are not happy with what you are doing? Kazi yako hakufurahishi kabisaaa. Nimeoneshwa if you set up your business utafanikiwa zaidi na utakuwa na furaha zaidi. Mmmmmmh! Akaanza kujiuliza huyu kajuaje ndo kusema nabii kweli au kanisoma tu saikolojia yangu? Akawa hana uhakika. Akakaa pale kuomba Pastor amuombee kwa Mungu amfanyie wepesi maishani mwake. Pastor akasema poa. Ila mbona kanisani huji jumapili? Akamwambia tu ukweli, yeye Mroman Catholic damu and hafikirii kama atakuja kubadili dini. Ila huduma aendelee kupewa tu kama walivopewa wa mataifa mengine.

Akarudi nyumbani, akamkuta shemeji yake anamngoja, akamsalimia na kutaka kumpita, akasikia nina maongezi na wewe. Akakaaa. Shemeji akaanza ooh umekuwa mkubwa, ni vyema ungejitegemea na kupata uhuru, humu ndani nina watoto sasa mara unarudi mara hurudi, inakuwa sio heshimaaa na sio mfano bora kwa familia. Violla akamuuliza "Kwa hio shemeji unanifukuza?" Shemeji yuko, hapana sikufukuzi, tunaelekezana tu, ukikaa hapa ukae kimaadili saa 3 umerudi nyumbani, hivo yaani, sio mara ulale, mara usilale, mara urudi saa 7 unamuamsha mke wangu akufungulie,tuwezi kwenda hivo hata kidogo. Ndo maana nimekushauri upange kwako, kama kodi nitakuwezesha kidogo ya kuanzia." Violla akawaza akamwambia unvosema kweli, ila mimi hapa sihami, sababu hapa kwa dada yangu na sina pa kwenda, and it is not about kodi, it is about family, dada yangu na wanae ni familia yangu." Shemeji akaanza kupanic, "Sasa mimi ndo mwenye nyumba nasema hivi hapa utahama. Huwezi kuniendesha kwangu mwenyewe. Nilimuoa dada yako sikuoa ukoo mzimaaa.

Violla akacheka kwanza, "Sasa sababu njia za kidiplomasia zimeshindikana inabidi tutumie za kivita, hivi unajua yule mwanamke wako wa Hazina ni shoga angu wa kufa na kuzikana" Shemeji akstukaaaa! "Mwanamke gani? Ushaanza ishu zako za kipuuzi puuzi." Violla akamwambia "Sabra Jabir, yule shombe shombe anafanya millenium account, anakaa Mbezi tank bovu, anaendesha Harrier, namba CB.... Kama umjuavyo mkeo, lately anaangalia bei za BMW online, akijua hii issue kuondoka haondoki ila itakugharimu BMW. Last time ilikucost Audi. Sasa unaniambiaje? Tuendelee kuvumiliana au tuharibiane?"

Shemeji akawaza akasema tuvumiliane tu, ila kama ulikuwa unajua siku zote hizo mbona hujamwambia dada yako? Violla akamjibu tu "What she doesnt know cant kill her! After all i have my own issues to deal with to capitalize in your issues. Ill be in my room" Akamuacha shemeji anawaza na kuwazua pale sebuleni. Akaingia ndani, na kutafakari kweli aanzishe agency yake ya marketing au aendelee kutumika tu huko alipo. Akawa kazama kwenye dimbwi la mawazo.

Ikaingia sms, what are you doing this weekend? Pastor huyooo. Akaona ajibu tu nothing ili aone itaishia wapi. Pastor akamwambia nilikuwa naomba unisindikize mahali. Roho ikamstukaaa! Akasema hawa ma pastor huko mahali anapotaka kusindikizwa ni kwenye hija au maombi. Bora tu nimtosee, maana akisema aniambie ndo nikatae itaonekana nimekataa baada ya kujua. Roho ingine inamwambia msikize tu huwezi kujua. Akaamua kumchinjia baharini. Akamwambia tu naumwaaa, sidhani kama nitaweza. Basi Pastor akamwambia okay.

Huku swala la mwanamke linamla rohoooo. Akakata shauri ijumaaa amuulize tu uso kwa uso kama ana mwanamke mwingine au vipi, na hio kazi akaamua kuifanya ijumaaa usiku. Wiki nzima akawa anatafakari kama aanzishe agency yake ama vipi. Akawa anasita sita tu. Ijumaa katoka kazini kaunganisha moja kwa moja kwa Raul. Akapika chakula vizuri tu. Raul akawa kaja very happy and charming as usual. Akangoja wakati wa kula akamtwanga swali, Raul una mwanamke mwingine? Akapaliwa chakula kwa mda. Alipopoa kukohoa akawa kimya. Akamuuliza una mwanamke mwingine? Raul akakaa kwanza kuwaza kwa dakika kadhaa. Akauliza kwanini umeniuliza hivo? Violla akamwambia hilo sio jibu, a yes or no will do. Raul jasho likaanza kumtokaaa, akajibu tu "It is complicated" Violla akajua tayariiiiiii.

Raul akaanza kujieleza oooh unajua nilivokuwa Carlfonia i met this lady ni mbongo, we lived together kwa mda and had 1 baby with her, sasa mwenzangu hataki kurudi bongo anatakaa kukaa tu huko nje ya nchi tu, well na mimi nimerudi huku kuanza maisha mapya, sasa ndo namsikilizia, kama asipokuja i will marry na kuendela na maisha actually i will marry you baby. Unajua life is not that perfect, everybody has a past." Violla akamuuliza "Huyo mwanamke akiamua kuja bongo je inakuwaje kuhusu mimi sasa?" Raul akanyamaza kwa mda akajibu tu we will figure it out baby. Violla akmuuliza why did you lie to me?" Raul akaanza kujitetea "No i didnt lie to you, maybe withheld information, but i lie no, and its just that hatukuongelea hilo, was planning to tell you later anyway leo umeniwahi tu kuniulizaaa."

Violla akachukua handbag yake akaondokaaa. Raul anamfata come on Violla, we can talk this through, we can find a solution, it doesnt have to be like this. Huyo akaondoka zake . Kafika sehemu kapaki kwanza gari, maana ille shock si mchezooo. Akaona mtu wa kumpigia ni pastor tu. Ndo anaweza hata kumchekia huko mbingu zinasemaje juu ya hilo swala. Akampigia Pastor usiku huo wa saa 4. Pastor akapokea simu. Akaanza kujielezea non stop, it is true, he has a woman, wana mtoto, i am so angry, blah blah blah blah! Pastor akamwambia come over to my place we talk this over.

Akili za usiku, na kutendwa akakubali kwenda kwa pastor.

ITAENDELEA SAA 4 USIKU.
 
Wiki 2 hakuna kufuatwa...Huyo ndio mwanaume na kazi zote anazipiga mwenyewe.
Tunaita maamuzi magumu,
Mxiewwwwwwww,sometime muwage humble basi mnazani Sie hatuumii.....yani ningekuwa mie ningekuwa simjali pia na asirogwe kuniuliza chochote au kunisemesha,coz kila jibu lingekuwa kamuulize Dada ako,kashauriwe kwa Dada ako,kamuombe dadako
 
Pastor mbayaaa!!
"Njoo tuongee", saa nne usiku? afu jinsia tofauti? ana lake jambo si bure.
Saa nne ilee...
 
Back
Top Bottom