call the number atakuelekeza poa.
anza kuchaji hata hela za bando tu
Pole mamii,God is good..yatapita hayoJaman thanks for concern, ila sijachukua redundacy wala nini, nimefanya maamuzi magumu nibakie, niwalambe makalio, wakinitimua niende mahakamani. Hahahaaaa! Japo roho inaniuma ningekuwa nimejaa sahivi zingetosha kwenda China.
Ni kwamba jana kulikuwa na shoti ya umeme so sikuwa na power kabisaaa ila ndo naandika sahivi.
mmh bhas sawaNashukuru kwa ushauri the issue is sina dhiki kihivooo, i can afford a bundle, unlimited pakage si 35,000 kwa mwezi voda. Nikichajisha bundle hio sasa itakuwa njaaa. Hahahaaa!
Anyway Mungu atanilipia kwa namna ingine.
Lara changisha ata elfu moja per story,hio ni kwa story fupi,ndefu unaongeza dau watu hawawezi kushindwa kutoa kama kweli wanapenda story zako,mind you kuna watu sio members jf ila wanafatilia,Grup watsap ni la watu 200,si haba ujue....ukipenda lakini mama huruma,tehMimi utuuu huu na huruma huruma ndo vinaniponza sanaa. Nakuwa nakufa maskini na kipaji changu nimekikalia. Unafikiri nashindwa kuchajishaa, na nikapata watu wengi tu, tatizo nikifikiria wenye hio hela ya kulipia na wasio na hio hela ya kulipia wote wameumbwa na Mungu mmoja, na wote wanapenda story tatizo uwezo, naamua kufanya sadaka.
Nakumbuka apoint of time i couldnt afford new novels, nikawa naazima nakaa kwenye folleni wiki hata 3 mpaka nipewe. Na walinipa bure tu nijiburudishe hostel, na kina Jackie Collins, Sidney Sheldon, Perry Masson, Robert Laudum etc je wangenichajishaaa, si ndo ningekosa utamu tenaaaa.
It is not always about the money. (Ila ndo nakufa masikini sasa.)
ALianza na wahuni wenzie kumi, akawa ana hubiri kivivu tu, wanaimba mapambio, wana rap humo humo injili. Mara ikafika watu 100 wiki ya kwanza, Wiki ya pili wakazidi kujaa, akapata wazo awe anakusanya sadaka. Akakusanya akapata hela nyingi. Akazidi kuiboresha dini yake ya Bryani, anatumia biblia kutapeli sadaka. Akisimama pale mbele wala hajiandai, maneno yamajia tu, na vifungu vinamjia tu kichwani naturally, anaona amen za kutoshaaa kwa sanaaa. Kujipatia sadka akawa anaombea ufaulu wa masomo, matatizo ya wazazi, matatizo ya kifamilia, uchumi wa wazazi. Dini ikawa kubwaa ikahamia hall.
Hiyo style inaitwa baba ubaya zingua nikuzingueHaaaaa sasa Raul kukaa na kiboxer mwanaume nuksi huyooo me ningeumwa ghaflaa ha ha ha ha ha
Ha ha ha ha ha ha ni balaaaaHiyo style inaitwa baba ubaya zingua nikuzingue