Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Mwenzangu saivi sitaki nipitwe... Nilikua nafatilia story ya sex slave nikaacha siku kadhaa ili nikute imeisha nijisomee kwa raha... Ni mpaka na leo sijawahi iona tena toka nlipokomea naumiaje roho.... Huyu Lara 1 mimi ntaenda nae sambamba
Nikusaidie hilo....mwisho aliandika kwa wanaotaka story ya slave sex inapatikana tsap unachangia elfu tatu kwa mwezi story inatumwa kuanzia jtatu mpka ijumaaa duhhb ndugu yangu nikajiunga navyopenda story nikakutana humo ndani hata kama story haijatumwa siku mbili n marufuku kuuliza nikavumilia ikatumwa nikakaa tena siku mbil hamna kitu kuuliza mbona watu wanaomba story ya mbali tofaut na uliyotutumia kumbe anawatu wake wengine anawatumia inbox ...duh. Kitenda cha kuhoji nilileftishwa
 
Nikusaidie hilo....mwisho aliandika kwa wanaotaka story ya slave sex inapatikana tsap unachangia elfu tatu kwa mwezi story inatumwa kuanzia jtatu mpka ijumaaa duhhb ndugu yangu nikajiunga navyopenda story nikakutana humo ndani hata kama story haijatumwa siku mbili n marufuku kuuliza nikavumilia ikatumwa nikakaa tena siku mbil hamna kitu kuuliza mbona watu wanaomba story ya mbali tofaut na uliyotutumia kumbe anawatu wake wengine anawatumia inbox ...duh. Kitenda cha kuhoji nilileftishwa
Mwee pole weeee..... Na hela ako akaitafuna na kuleftishwa not rait
 
uwiiiiieeeeee rauli hii huduma ya pastor naiihitaji maana huduma zote kimwili na kiroho!
 
Pastor akagoma kwenda hio parokia wala kufatilia lolote. Viola akajua kazi yake ni ngumu kuliko alivohisi itakuwa, maana Pastor kumbe sio fake Pastor, ni Pastor kweli kiuhalali. Akaenda kumshusha kwa dada yake akaondoka zake. Akiwa kwa dada yake akaanza kuona point ya shemeji yake pale anajibana bureeee. bora tu apange, na hivi kibuzi cha sahii ni pastor hawezi kuingia lodge heri tu apange ghetto lake, akae humo.

Akamwambia dada yake nia yake ya kupanga., dada yake hakuwa na neno kabisaaa, akamwambia kama umeona vema basi sawa, wewe kapange tu kwako. Akatafuta nyumba ya peke yake, kajumba kadogo ila kanajitegemea, akalipia akawa kaingia ana kitanda na godoro basi na kapeti chini. Akaanza kujijenga mdogo mdogo. Huku Raul anarudi kwa kasi ooh ashafanya maamuzi anamuacha yule wa nje, anamuoa yeye Violla. Violla akamuuliza unamuachaje mzazi mwenzio? Maybe kumsuspend ila wazazi hawaachani ngooo, wanakumbushiana daily, yeye hizo stress hazitaki kabisaa. Raul anajieleza jamani alizaa kabla ya kukutana nae, sasa tatizo ni nini? Hawezi kurudisha mda nyuma awe hana mtoto. Violla anamwambia hio imekula kwako. Ila Raul akajua akimlainisha vizuri Violla atajaa tu nyavuni. Ikawa hachoki.

Ikawa kaanza kumkaribisha pastor kwake, for maombi you know anahamia nyumba mpya. Pastor mjanja akataka atajiwe location ya nyumba ilipo ili aende kwa mda wake hata akiombea nje ya geti upako utaingia tu. Tobaaa. Violla hatakia anadai kwa urafiki wao, pastor sio wa kuombea nje, ni wa kuingia ndani kunywa bia 2 ,3 na kumfanyia maombi chumba mpaka chumba. Pastor kagoma hio huduma. Violla akamwambia mimi napika kama huji shauri yako, afu nitakushangaa sanaaa. Yesu mwenyewe aliingia nyumbani kwa Martha na dada yake, akaaa akala mpaka chakula cha mchana jikumbushe Luka 10:38 sasa mtumishi wewe vipi you make exceptions? Pastor akakubali kweli she has a point and Jesus did enter Marthas home., yet still kutokana na kazi kumbana hatoweza kwenda pale kwa ratiba ya Violla.


Violla akamtega "what is it you are afraid of more? Me or the devil inside you?" Pastor akaichunia. Violla akaja kugundua Pastor akibanwa kuliko aseme uongo bora akae kimya tu, to keep you guessing. Basi Violla akamsisitiza mimi napika, manake ni siku jema, nafanya uasafi, najiandaa na ujio wa bwana nyumbani kwangu. Ile kufosi kingi mule mule mwenye imani. Pastor hakutoa guarantee kama ataenda au hatoendaaa. Violla wiki hio kavunja kibubu kanunua makochi dining, sebule ikangaa siku moja. Akawa kajiandaa si kidogo oraaaaaaa. Anaona siku haifikia. Kama leo kesho ndo siku yenyewe akamtumia sms kumkumbushia tu kuwa kesho ndo kesho mda wa mchanaaa. Asubuhi dada yake kamuomba amsindikize kariakoo, akasingizia tumbo la bleed limembana sanaaa hawezi kwenda. Kumbe anasafisha hata nzi hatakiwi. Kila mda anapulizia airfresher.

Saa 4 kaanza kuandaa mahanjumati, macaroni ya cheese yaliyochanganywa na nyama ya kusaga. Kajipikilisha hapo kwa you tube mpaka saa 7. Akatia kwenye hot pot akaweka dining, na sahani zake mpyaa za maana, glass zake. Juice alitengeneza jana iko kwenye friji. Matunda kwenye friji. Akaiweka na bible juu maana atauliza tu yule mtumishi. Saa 8, kimyaaa. Saa 9 kimyaaa, saa 10 kimya, saa 11 ikaingia sms. Akakimbilia simu, akavuta kwanza pumzi kuisomaa hio sms. Akaamua kuisoma sasa akifungulia pale pale kwenye notification bar. Tobaaaaaaaa!

Imeandikwa "MPAWA inakopesha mpaka 500000 kwa siku, jiunge leo.............."Akashusha pumzi kwa hasira kali. Akachukua kile chakula akakitia kwenye makontena akakibwaga kwenye friji. Akawasha muvi, hainogi kabisaaa. Akachukua PC yake akanza kuangalia muvi za kutishaaa ili tu zimboost mood japo ya kutishika ila mawazo yaondoke huko kwenye kuchomeshwa mahindi na pastor. Akachagua muvi ya Appocalypse now ambayo ashaiangalia mara 10. Ikawa haimleti mzuka kabisaaa. Akaamua kuangalia Neria walau imtie tu uchungu hata wa msiba. Bado mood hana kabisaaaa. Akakata shauri aiangalie movie za kinigeria za kichawi. Wapiiii. Akaamua kujikalia. Akajaribu tena na movie ya Hanibal Rising ya world war 2, kidogooo ikampata attention yake. Manake hio movie ni ya world war 2 inatisha haswaaaa, watoto wa 2 wameachwa na wazazi wao, peke yao wakiume na wa kike. Sasa Nazi wale wakaja kujificha kwao. Wakawa wanakula vibudu vikaisha, baadae wakakosa kabisa chakulaa, wakamchinja yule mtoto wa kike na kumla kidogo kidogo kwenye friji. Mwishoni yule Nazi wakatoroka wakamuacha yule mtoto wa kiume. Akaishi mda mpaka akaja kuokolewa na majeshi yauingereza ila alikuwa haongei afu anapiga kelele sanaa usiku.

Alivokuwa mkubwa, akawatrack wale Nazi wote waliokuwa nyumbani kwao, akaanza kuwaua mmoja mmoja, walivobaki 2 wakatafutana hao Nazi wakaanza kumtafuta yule dogo. Baadae akamuua mmoja tena, sasa wa mwisho kabla hajamuua akamwambia mambo ya kumtatanisha kidogo, kuwa sawa nilimua mdogo wako tukamfanya chakula, hakikuwa kitu kizuri, na kimenitesa maishani yangu yoteee. Lakini nashindwa kuelewa wewe kaka mtu hasira yako kubwa ni kwamba tulimuua mdogo wako au na wewe ulimla na kuendelea kumla mpaka siku ulipookolewa na wanajeshi wa uingereza? Which makes you more mad? Hannibal akamuua yule mtu bila kujibu lile swali wala nini. Picha likaisha.

Kustuka kuangalia mda saa 3 usiku. Akajua tu haji wala nini. Akakata shauri ampigi simu maybe hata hakujua anampigia amwambie nini sasa. Ila akampigia anyway. Ikawa inakatwa, baadae ikazimwa.Akawa sasa yuko really pissed. Akataka kwenda kukimwaga kile chakula ila akata shauri sio Pastor mwanaume peke yake mwenye mdogo wa kula msosi ule. Sababu pastor kadengua wapo wanaume wengi tu wangeupenda msosi ule na kushukuru. Akachukua simu akampigia Raul! Raul coz anajijua yupo bench hakujivunga, Violla akamuuliza are you busy, Raul akamwambia not for you dear, hata kama niko chooni nanya, ukiniambia nije wala simalizii navaa hivo hivo nakuja. Hhahahaaaa! Wakacheka wote.

Violla akamwambia bwana nimeamia new crib, karibu upaone, kuna msosi mwingi tu hata ukija sahivi, utaukuta. Raul akamwambia SAY NO MORE. Niko hapo dakika sifuri. Dakika 20 nyingi anagonga, akamwambia kachukua boda boda msosi usije kupoa bure. Akamkaribisha mezani, akaanza kukipasha kile chakula from the friji, akaweka sahani zile zile, glass, juice, matunda. Raul anasema ama kweli Mungu wake ni mwenye nguvu, si kwa ugomvi ule, na kuwa ignored ghafla tu, kaitiwa sosi la maana usiku huo. Akambeep na shetani nae akiwa kwenye mstari usiku huo uchi atapata pia sio haba kwa Jumapili moja moja kama hizo ataongeza sadaka.

Akajipakulia sosi la baba mwenye nyumba, ana jitutumua kama faza house, juice anajaza glass, chakula mlimaaa, anakisifia kitamu sanaaa, sijui nini. Wakaongea fresh tu mpaka wakawa wanacheka kabisaaa. Anasimulia habari za yule mtoto wake wa kule kaongea nae that week anajua vitu ni balaaa. Amemwambia anataka Jordans genuine, $ miangapi sijui anakiona cha moto. Anamuonesha na picha zake kab isaa, picha za mama mtu. Story story saa 5 hii hapa. Raul hana hata nia ya kuondoka kabisaa, kajiwekea na mechi kwenye Dstv ya mwenzie. Baba mwenye nyumba tenaaa.

Akasikia honi piiiiiiiiiiiiiiiiiii! Akastuka kwanza. Akajipa moyo sio pale. Honi zikaendeleaaaa. Akaanza kupata mashaka sasa. Simu jikoni ikawa inaita, roho ikawa inamwenda mbio, kuangalia Pastor Bryan calling! Akaiweka silent. Ikapiga tena akapokelea huko huko jikoni, Hi! Kwa bashasha la kufumaniwa, akajibu Hi! Nimechelewa kumaliza huduma so i thought better late than never! Maana ungenila nyama wewe mwanamke, njoo unifungulie geti, akaitikia tu hayaaa. Huku akili inamwenda race kabisaaaa. Anawaza anamtoaje Raul pale, geti lenyewe moja hilo hilo na si mpaka Raul akubali kutoka. Akakata shauri akamfata sebuleni Raul!

Akampigia magoti mawili na kuunga mikono ishara ya kumuomba mtu msaada mkubwa, akanza sound "Raul for the sake of old times nakuomba niko chini ya miguu yako binadamu mwenzio nakuomba ujifiche chooni kwenye hiko chumba usitoke wala usiongeee, hata kujamba mpaka nije kukutoa, nakuomba baby pleaseeee! Nipo chini ya miguu yako sema chochote nitafanya mradi tu huyu mtu anaekuja humu ndani asijue upo wala ulikuwepo." Raul akacheka kwa dharau kubwa sanaaaa. Afu akasunyaaaa kwanza. Violla bado kapiga magoti hapo.

Raul akamwambia haiwezekaniiiii, unachoniomba sio kitu cha kiume hata kidogo. It is impossible, my ego as a man or any other man hawezi kukubali kuingia chooni, ili demu anaempendaaa aingize mwanaume mwingine, mpigane miti humu humu mimi nimetulia tu chooni, haiwezekaniii. Siingii chooni wala sijifichi, ningeweza kukufanyia ushenzi nikaingia afu nikatoka mda ambao hujapanga ukaaibika zaidi, maadam umenipigia magoti binadamu mwenzio na Violla nakujua ulivo jeuri wewe kupiga magoti hivo itakuwa unampenda sanaa huyu mwanaume, mimi nakupa fair chance ujiokoe kwenye makucha yangu kama utaweza na mbingu zitakuchekea au muujiza kushuka, sababu nakaa hapa hapa, sitingishikia, na akija humu naweka karata zote mezaniiii. Sitokusingizia mambo machafu ila nitafanya kila niwezalo to fight for what i want with this guy that is you. It will get nasty in here dear. Kafungue geti tu picha lianze.

Violla akamsujudia Raul, sema chcohcote unachotaka ila usifanye hivo please! Raul akamjibu nachotaka ni wewe tu, sina kingine and i am not a coward kukupa kwa kustrike a deal au a silly bargain, im fighting for you fair and square with the guy. Honi zikawa zimezidiiii. Akakata shauri akafungue. Badala ya kufungua Violla akatokea kigeti kidogo na kuingia kwenye gari ya Pastor mzima mzima, lets go for a late night snack! Ile kutaka kumbabatiza pastor wageuzie nje kwa nje. Pastor kachomoa, nataka kula ulichopika huko, sijala siku nzima. Akaanza kujitetea, i didnt tell you im noa very good cook you know, chakula chote kimeungua ujue. Pastor akamwambia i cook very delicious meals napika mimi. Violla akajitetea cha kupika hamna maybe tukanunue, pastor kagomaa anyway sisikii njaa wala nini? Twende niombe nilale hapa hapa nimechoka kweli! Violla akawaza tumeeeeee, tobaaaaaaaaaaa! Akawa kanasa pale, pastor kaingia kigeti kidogo kiko wazi, akafungua geti kubwa mwenyewe akapaki ndani, wakashuka mguu kwa mguu. Violla mzitoooo, ila tafanyaje akawa anaomba Mungu tu dua zoteee Raul awe amekata shauri la kuingia chooni mwenyewe.

Pastor yupo pananukia sanaaa, kitakuwa kitamu kweli. Kuingia sebuleni tu Raul kajilaza kwenye sofa na pens tupu, shati kalivua liko chini ya kochi, nywele kavurga vuruga, eti anamkaribisha karibu mgeni, anajinyoosha kichovu mida mibaya hii, ila mgeni hafukuzwi karibu. Violla anachemka kwa gadhabu, akimuangalia Violla Raul anaminyia jicho la kibandiduu. Bryani akampa mkono Pastor Bryan! Raul yupo, ooooohhhhh! Bryan the pastor she cant stop to talk about your spiritual healing! My honor to meet you, Im Raul her BF. Anasmile. Violla akadakia XBF. Raul akadakia it is complicated.

Pastor akamwambia nimekuja kuombea nyumba, not agood time but im here we can get it done with. Raul akainama uvunguni direct kuchukua shati yake akavaa, na kusema you can proceed pastor. Pastor akaomba pale kuwabariki wakazi wa humo, akamaliza wakaitikia Amen. Violla kakaa kwenye kochi kachokaaaa mwili na roho anawaza atakavo mla nyama Raul kuliko Nazi walivomla mdogo wake Hanibbal. Pastor akajisemesha i havent eaten all day any left overs, Raul akawahi dining, akafungua hot pot, chakula kimo akajibu, no left overs pastors, we are so sorry. Violla kwanini umepika kidogo, mtumishi anaenda na njaa yake tutalaaniwa, ngoja nikuoa nitakupeleka ukafundwe. Pastor akacheka na Raul akachekaaa. Violla akawa anawaza tu amuue kwa njia gani Raul si kwa kumuharibia kule leo, her life dream imeharibiwa kizembeee. Pastor akaanza kuangalia mpira, Raul akamwambia it is a bit late pastor, i dont want to sound rude but you look tired, you should go and have a rest. Pastor akasema definately. Violla akdakia ngoja nikutoe nje. Raul akamuwahi pastor mimi namtoa nje wewe toa vyombo ujiandae na tulivoongea basi tu to add insult to injury.

Pastor akatoka zake, nje ya geti akamwambia Raul, ile ishu na baba yako muimalize, itakuletea shida sanaa ishaanza kujirudia kwako na mwanao. Usipochukua hatua itakugharimu sanaa. Ubarikiwe. Akaingia kwenye gari, Raul akaingia ndani akahakikisha kawasha gari kaiondoa akarudi ndani. Violla kaa pale pale alipomuacha. Raul kapani kwanini unamwambia basha wako mambo yangu na mwanangu? Mmekosa cha kuongea? Violla akamsuta yeye hayo mambo yake na mwanae yasioyofaa kutangazwa kayajuajeee? Raul nae akawa anamuuliza Violla sasa pastor kajuaje? Violla akamwambia kaoneshwa kwenye ulimwengu wa roho, Raul akapoa kwanza kwa mda kuaytafakari.
Baadae aka bullshit.

Violla akwambia naomba utoke njeeeeee, na usikanyage hapa kwangu. Raul anajitetea wapi. Ikawa mzozo mkubwa, makelele, Raul analalamika nae kaumizwa, for once alijua amependwa, wamepatana kaandaliwa msosi, kumbe msosi kaandaliwa mtu mwengine ambae alivochelewa akaitwa yeye, he felt betrayed! Na kama mwanaume kimemuuma sanaa, he felt used! Ndo maana akaenda out of propotion kuwakomoa wote, na pamoja nayote anampena Violla and he wants her back in his life. Violla akwa hana pakuanzia kumlaani Raul ila akamwambia tu tokaaaaaaa. Raul anadai sijaja na gari saa 7 hii, nikikabwa, nalala hapa hapa. Ukawa ugomvi wa kama dakika 15, Violla akwambia baki nakumwagia maji ya moto, akayabandika. Raul akaondoka analalamika lakini yeye ndo victim pale, Violla anamsindikiza na mitusi, Lose my number, usilete tena pumbu zako humu, matusi makubwa makubwa. Raul yupo najua kimekuuma sababu unanipenda sanaa mimi, Violla yupo nampenda pastor sasa kwa taarifa yao. Makelele, akamtimulia mbali Akaloki geti karudi ndani.

Akasikia ngooo ngooo, akajua tu Raul atajifanya kakosa uasfiri, akaamua kama kuliwa na sima alie ila mlango hafungui. Yule mtu akendelea kugonga mlango hapo nje akaona kero akaenda kumtukana kwa ndani mtu yuko je. Tukana sanaaa. Akashangaa mbona hajibu, maana akili za Raul angerudishia, akajimbia atakuwa mjumbe watu wameenda kushtaki kelele zimezidi. Akikusanya kafungua mlango, kajiandaa na utetezi mzitoooo. Kumbe Pastor! Afu safari hii hana gari. Akawa mdogooo kapigwa butwaa si kwa mitusi ile aliotukana. Akili ikawa inamzunguka kasikia kuanzia wapi, kwa Raul au wapi? Akawa kabungaaa, Pastor Akaingia akaloki geti akabana na kufuli kabisaaa.

Akampiga denda kwanza kaitika kubungaaa kwake afu akambeba kuelekea ndani sasa. Bado kapigwa butwaaa.

ITAENDELEA KESHO SAA 5 ASUBUHI.
Mission possible
 
Nikusaidie hilo....mwisho aliandika kwa wanaotaka story ya slave sex inapatikana tsap unachangia elfu tatu kwa mwezi story inatumwa kuanzia jtatu mpka ijumaaa duhhb ndugu yangu nikajiunga navyopenda story nikakutana humo ndani hata kama story haijatumwa siku mbili n marufuku kuuliza nikavumilia ikatumwa nikakaa tena siku mbil hamna kitu kuuliza mbona watu wanaomba story ya mbali tofaut na uliyotutumia kumbe anawatu wake wengine anawatumia inbox ...duh. Kitenda cha kuhoji nilileftishwa


kUMBEEEEEEEE! Na mimi story itaendelea whats up 50,000 part 1 iliobaki na part 2. Huna kajambe mbeleeeeee. Sizingui, ukituma hela natuma story yoooote. Ndo kwanza inaanza hapa. Mjiandae kama huna 10,000 episode moja. Hela yako itapoishia ndo story iliobaki utajimalizia kichwani mwako, ukitaka Raul ashinde haya, ukitaka ashinde wewe tu, ukitaka Violla azeeke mwenyewe wewe tu na kichwa chako, ukitaka mwanamke mmoja Viola aolewe na wote there is no limit for you. Mnaniambiaje sasa?

NATANIA JAMANIIII! Hapa story bureee tu, ndo muombe Mungu zifike mwishoo. Uzuri vile za bure hata zikiishia njiani hamnidai hata kumi ahahahaaaaa.
 
Mwee pole weeee..... Na hela ako akaitafuna na kuleftishwa not rait
Yani wacha anajidai yuko busy kazi nying ohh msinipe stress kwanza hela yenyew buku tatu tukamwambia lakin ww si ndo umepanga bei na tuko wangapi? Na story inaweza chukua miez hata mitano kwa hyo stail yake ......ila ndio bongo hyo ubabe mwing for nothing ...wacha dada lara aniambie hata kama n laki japo alikatisha ile story ya yanga na simba inaniumaaaaaa
Mwee pole weeee..... Na hela ako akaitafuna na kuleftishwa not rait
 
kUMBEEEEEEEE! Na mimi story itaendelea whats up 50,000 part 1 iliobaki na part 2. Huna kajambe mbeleeeeee. Sizingui, ukituma hela natuma story yoooote. Ndo kwanza inaanza hapa. Mjiandae kama huna 10,000 episode moja. Hela yako itapoishia ndo story iliobaki utajimalizia kichwani mwako, ukitaka Raul ashinde haya, ukitaka ashinde wewe tu, ukitaka Violla azeeke mwenyewe wewe tu na kichwa chako, ukitaka mwanamke mmoja Viola aolewe na wote there is no limit for you. Mnaniambiaje sasa?
Nini tena mama? Duu usitufanyie hivyo ujue
 
Hahaha
kUMBEEEEEEEE! Na mimi story itaendelea whats up 50,000 part 1 iliobaki na part 2. Huna kajambe mbeleeeeee. Sizingui, ukituma hela natuma story yoooote. Ndo kwanza inaanza hapa. Mjiandae kama huna 10,000 episode moja. Hela yako itapoishia ndo story iliobaki utajimalizia kichwani mwako, ukitaka Raul ashinde haya, ukitaka ashinde wewe tu, ukitaka Violla azeeke mwenyewe wewe tu na kichwa chako, ukitaka mwanamke mmoja Viola aolewe na wote there is no limit for you. Mnaniambiaje sasa?
Aaaaaaaa dada lara kiukweli saiv nimestuka niliweka alarm ili tu niwez soma story mr.akaniambia huyo mtu kashakuharib akili sasa utaniharib mpka kiuchum weka wangu hizo gharama atakula mchicha mpka nipew talaka ...dadeqqq
 
Yani wacha anajidai yuko busy kazi nying ohh msinipe stress kwanza hela yenyew buku tatu tukamwambia lakin ww si ndo umepanga bei na tuko wangapi? Na story inaweza chukua miez hata mitano kwa hyo stail yake ......ila ndio bongo hyo ubabe mwing for nothing ...wacha dada lara aniambie hata kama n laki japo alikatisha ile story ya yanga na simba inaniumaaaaaa
Mmmh ... Mwambie laraa asifanye hivo atatuumiza wengine ujue
 
Mmmh ... Mwambie laraa asifanye hivo atatuumiza wengine ujue
Ifikie mahali tusipende miteremko hiv lara kaanza kitambo sana sidhan kama ataweka gharama kubwa hiv ila tu walau tumtie moyo kwa kipaje chake mm saiv ndoa naimudu walah mana mbinu nazozipata sijui nisemeje ..mr..utadhan nimemlisha limbwata ...kumbe lara...nina silaha za maangamiz hatari....
 
Yani wacha anajidai yuko busy kazi nying ohh msinipe stress kwanza hela yenyew buku tatu tukamwambia lakin ww si ndo umepanga bei na tuko wangapi? Na story inaweza chukua miez hata mitano kwa hyo stail yake ......ila ndio bongo hyo ubabe mwing for nothing ...wacha dada lara aniambie hata kama n laki japo alikatisha ile story ya yanga na simba inaniumaaaaaa

Atakuwa alifikia writers DOOM! Ambapo mwandishi anashindwa kabisaaa kuimalizia story hata iweje, either sababu kapata story ingine, au kaishiwa hoja na mnatiki za kuandika, au mood imemtoka tu. Kila mwandishi lazia awe na story nyingi tu zilizo nusu.

Mi tayari kwa JF ninazo 3 sijazimalizia, hata mtu aniepe hela siwezi kuzimaliziaaa. Sio kwamba sitaki au sijisikiii, nooo, siwezi tuuuu, hata nijitahidi vipi.
 
Ifikie mahali tusipende miteremko hiv lara kaanza kitambo sana sidhan kama ataweka gharama kubwa hiv ila tu walau tumtie moyo kwa kipaje chake mm saiv ndoa naimudu walah mana mbinu nazozipata sijui nisemeje ..mr..utadhan nimemlisha limbwata ...kumbe lara...nina silaha za maangamiz hatari....
Hahaaa... Hongera zako
 
Atakuwa alifikia writers DOOM! Ambapo mwandishi anashindwa kabisaaa kuimalizia story hata iweje, either sababu kapata story ingine, au kaishiwa hoja na mnatiki za kuandika, au mood imemtoka tu. Kila mwandishi lazia awe na story nyingi tu zilizo nusu.
Ayaaaaaaaaaa sasa umenikumbusha jambo muhim kuna siku nikamwambia mbona kama kisa huku mbelen n cha kusadikika sana kwa jins navyoona mwendelez akaniambia ww n mwandish nikamwambia hapana na wala sijawah hata kuandika ila nasoma story nying sna akaniuliza unahis nn kitatokea mbele nikamwambia na pia nikamwambia itapoteza mvuto kufika sehem ya 50 kweli alirukia upande mwingine wa story ambayo kunabaadh ya matukio aliyakopy kwa story ya shigongo ya mwaka 2000naikumbuka ...
 
Back
Top Bottom