Mimi utuuu huu na huruma huruma ndo vinaniponza sanaa. Nakuwa nakufa maskini na kipaji changu nimekikalia. Unafikiri nashindwa kuchajishaa, na nikapata watu wengi tu, tatizo nikifikiria wenye hio hela ya kulipia na wasio na hio hela ya kulipia wote wameumbwa na Mungu mmoja, na wote wanapenda story tatizo uwezo, naamua kufanya sadaka.
Nakumbuka apoint of time i couldnt afford new novels, nikawa naazima nakaa kwenye folleni wiki hata 3 mpaka nipewe. Na walinipa bure tu nijiburudishe hostel, na kina Jackie Collins, Sidney Sheldon, Perry Masson, Robert Laudum etc je wangenichajishaaa, si ndo ningekosa utamu tenaaaa.
It is not always about the money. (Ila ndo nakufa masikini sasa.)