Vipi na wewe umeiba au umeibiwa kwa njia ya mitandao??Jaman,hapa tz kuna websites nying ikiwa h inayojulikana sn ckuhz FB.jaman hasa mabint wanaiba sana waume,boyfrends,fiances.jaman hayo ndo matumizi ya websites?
Wamekuibia nini?Jaman,hapa tz kuna websites nying ikiwa h inayojulikana sn ckuhz FB.jaman hasa mabint wanaiba sana waume,boyfrends,fiances.jaman hayo ndo matumizi ya websites?
mpenzi ukimpata kupitia fb ni bomu
eeh,hapa nalia na roho
<br />Dah! Pole sana kwa kutwendwa, fanya jitihada ujue kilichomfanya huyo wako mpaka akaibiwa ni nini...! Na anakosa nini kwako mpaka haamue kuibiwa.