Counterbook
Senior Member
- Jun 14, 2020
- 159
- 71
Wanaacha kazi ,wanajipa vikazi kazi havina interest pana, fun
Tutaoa vipi wakati pesa hatuna kazi wanapewa wazee wa miaka 70 na vijana tupopiga pini kabisa vijana hawaoi wanaangalia ngono tu
Kwamba kazi ni lazima upewe? au kazi unatafuta ya kufanya?. Huku duniani unaweza kujitetea kwamba huna kazi ya kufanya?Tutaoa vipi wakati pesa hatuna kazi wanapewa wazee wa miaka 70 na vijana tupo
Ndio sina kazi mzeya nipenkazi nifanyeKwamba kazi ni lazima upewe? au kazi unatafuta ya kufanya?. Huku duniani unaweza kujitetea kwamba huna kazi ya kufanya?
Zipi hizo...nido doshee kule pmSio kweli.. kuna website zinafunguka bila VPN nyingi tu, nahisi wamefunga zile common tu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kwamba kazi ni lazima upewe? au kazi unatafuta ya kufanya?. Huku duniani unaweza kujitetea kwamba huna kazi ya kufanya?
wapi nimeandika "lazima"Hata kuoa siyo lazima. Kwanini unatulazimisha tuoe?
NdioKumbe ukipigwa Ban avatar yako wanaweka Banned?
Uliposhauri wazuie na UPN ndio umeonyesha jinsi uko shallow na una uelewa FINYU sana kuhusu Vitual Private Network (VPN).Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.
Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.
Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Mama Pasco Capt TamarUliposhauri wazuie na UPN ndio umeonyesha jinsi uko shallow na una uelewa FINYU sana kuhusu Vitual Private Network (VPN).
Mkuu hata C.I.A ya marekani wameshindwa kucrack VPN hapo Kolomije ndio wataweza ?!! China na technology yao na udictetor wa kufungia mitandao waChina wanatumia VPN na serikali yao imeshindwa kuzuia ip address diversion za VPN hapo nchi isiyoweza hata kutengeneza betri ya saa ndio wataweza ?! ebv !!
vibesen xxx Carrasco putin Mshana Jr Soma Tena mjingamimi bagamoyo Mzee Wa Kazi Chafu Mama Pasco Capt TamarSafi sana kama zimefungiwa...