JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 116
Heshima mkuu.Hivi ulivyoandika vitatosha kujua hujui unaloandika... who told you public large office inahitaji service za TTCL broadbandss... hizi zipo kwa home users... etc please... do not danganya watu hapa...
Kwa muelekeo wako... utafika mahali kutuambia Ikulu ichukue service za 3G... au GPRS...
kazi kweli kweli... waheshimiwa... musivyovijua msijaribu kudanganya ummaa..
Kama Mtaalamu wa ICT and expert in TCP/IP... hakuna hoja hata kidogo kwenye thread hii... udaku tu na siasa za kitoto..
Sasa naomba nikupatie majibu yako... for an office like that will need at least 512K... lakini kwa kiasi wanachosema kwa mwezi... huenda wako kwenye 256K sasa angalia bei za TTCL... sio broadband samahani kaka
Huduma zako za Broadband hizi hapa ukiangalia utaona ziko usage based... maana yake... credit zikiisha link inakatika... kwa hiyo mkuu unataka link ya Ikulu ikatike wakati wowote... let us be serious kidogo...
Alafu angalia bei zote za broadband zinazungumzia intended customer wa juu kabisa ni SME... sasa Ikulu haiwezi ikawa under category ya SME...(wajasiria mali)
Geeque,
Thread haikuwa na hoja ya maana...nothing substantial deserving a debate... kwa hakika hapakuwa na issue... isipokuwa ndani ya thread... mzee mwanakijiji kuna hoja alizitoa nzuri kwa kufikiriwa zaid... lakini wenye hoja... walikuwa na siasa zaidi... kwa ajili ya kumbomoa mkuu wa nchi na afisa habari mkuu wake... lakini data zao zilikuwa wiki sana...
Lakini tumejifunza mengine ndani ya hiyo safari...
Hivi ulivyoandika vitatosha kujua hujui unaloandika... who told you public large office inahitaji service za TTCL broadbandss... hizi zipo kwa home users... etc please... do not danganya watu hapa...
Kwa muelekeo wako... utafika mahali kutuambia Ikulu ichukue service za 3G... au GPRS...
kazi kweli kweli... waheshimiwa... musivyovijua msijaribu kudanganya ummaa..
Kama Mtaalamu wa ICT and expert in TCP/IP... hakuna hoja hata kidogo kwenye thread hii... udaku tu na siasa za kitoto..
)
Wadau,
post tumeziona... wengi nadhani tumejifunza... ni muhimu ukiwa huna una ukakika na jambo ulitoe kwa mfumo wa swali!
Wale niliowakosea au kutowatendea haki... naomba radhi...
Ujumbe umefika... tuondoe siasa kila mahali!!!
Mzee Mwanakijiji, he umekuwa msemaji wa wOrM? Malizeni mjadala halafu mseme bayana msimamo kama kulipwa au bure? Ni lini mtatoa mchango nchini kwenu kama mmeamua kuishi kibepari kwa maana chochote kinachofanywa, kiwe na consideration? Hebu kumbukeni "Kijana aliyepewa chakula na Kijiji kilichokuwa na njaa, ili apate nguvu ya kwenda kutafuta chakula mbali arudi nacho kuwasaidia aliowaacha Kijijini kwake maana, wangekigawa pale Kijijini kisingewatosha na wasingefika huko kupata chakula kingine- Kijana akala akashiba akaenda na akapata hicho chakula alichikifuata, badala ya kukirudisha Kijijini kwa wengi aliowaacha na njaa akaamua kubaki huku huko". Sasa na nyie msiwe kama huyo kijana kwa kusingizia eti mmeamua kuishi Kibepari. Lazima mkumbuke mlikotoka!
Pundit,
Nani kafanyiwa charity na nani kajitolea nini, na tovuti ya Ikulu imekuwaje.
It's a bit old news, may have passed some of us by. Can you bring me up to speed?
Katika ile ripoti ya mpango wa maendeleo wa 2008/2009 kuna kitu hiki nimekikuta:
Item:
6527 Strengthening of TZ National
Website 200,000,000!