We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

We mwanamke inakuwaje unatandikiwa kitanda?

Bado nitaendelea kukubishia kwa kuwa kukaa kwenye ndoa miaka 20 au 30 haina maana kuwa mna ndoa yenye furaha...unaweza tu ku argue kuwa mna ndoa yenye uvumilivu ila furaha huwezi msemea mkeo; aje aseme mwenyewe tena honestly.

Na kumdekisha hg has nothing to do with uvivu...ni division of labor tu.

Ku-pretend miaka 19? Nadhani unamkosea heshima mke wangu?

Hii "notion" ya "kusaidiana" sijui imetoka wapi? Au ni matokeo ya "uvivu" wa kizazi hiki? Kutandika kitandaa na mambo mengine yanayofanana na hilo yanachukua muda wako kiasi gani kwa siku? Mmeo anapokuwa anatandika kitanda wewe unakuwa unafanya nini - if I may ask?

Kwa mfano, saa 11 ya alfajiri wote mmeondoka nyumbani kuelekea kwenye kusaka pesa, saa mbili au tatu ya usiku wote mmerudi nyumbani... na bahati nzuri house-girl anakuwa ameshafanya kazi zoooote (except "kutandika" - haruhusiwi kuingia chumbani): kuanzia kupika, kuwaogesha watoto, kupiga pasi e.t.c... Sasa hata "kuandaa" chumba mnataka "kusaidiwa"? - SHAME...!
 
Unadhani kuonyesha upendo kwa mkeo kutafanya ubomoe nyumba yako?

Upendo kwa mke wangu haumaanishi kuachana na misingi na mila nzuri tulizofundishwa ambazo zimetuwezesha kufika hapa tulipo.
Najua siku hizi wanawake mnapenda kuishi mapenzi ya kizungu ambayo ndio chanzo cha matatizo mengi tunayoyashuhudia. Hivi mapenzi ya kweli ni hadi ufuate mila za kizungu?
 
Kweli FELIPE??

Wewe unatafuta mkwe mwenye elements kama za mama zetu??

Unadhani time ni static variable??

Babu DC!!

Ndoa is something natural, huwezi pingana na nature kila mtu inabidi atimize wajibu wake ili ndo iwe stable. Kawaida kama kuna mwanamke anakufanyia mambo mengi ambayo ultegemea kuyapata kwa mkeo lakini mkeo kabweteka tu, utajikuta tu natural unampenda yule mwanamke and thats nature. So if modern women are against that nature ndoa haiwezi kuwa ndoa.
 
Tofauti ya hotelini na nyumbani kwa muktadha wa mtu aliyeajiriwa ni ipi?

Kwani hotelini wanalipwa Diamond na nyumbani tunalipa copper??

Babu DC!!

kama hotelini na nyumbani kwako ni sawa basi tumetofautiana sana mkuu!

sasa sijui kwako wageni ni kina nani?
mmiliki ni nani?
meneja ni nani?
mhudumu ni nani?
mfanya usafi ,mpishi n.k ni nani?
 
Upendo kwa mke wangu haumaanishi kuachana na misingi na mila nzuri tulizofundishwa ambazo zimetuwezesha kufika hapa tulipo.
Najua siku hizi wanawake mnapenda kuishi mapenzi ya kizungu ambayo ndio chanzo cha matatizo mengi tunayoyashuhudia. Hivi mapenzi ya kweli ni hadi ufuate mila za kizungu?

mkuu kama kweli wanayaiga hayo ya kizungu basi hata hawajayawezea na ndiyo madhara ya kuiga hapo .... wazungu wenyewe wana standards zao na limits kwenye ndoa zao na ndiyo maana zingine zinadumu mpaka kifo kinapowatenganisha....na wazungu wanafahamu kwenye ndoa kuna haki na wajibu ,siyo kama sisi tunaoiga .
 
cacico usiwe mchoyo, tunahitaji mawazo yako katika hili. Wewe ndiye untandika kitanda au ni beki tatu?
mimi kusema ukweli ni likuwa nafanya mwenyewe mpaka nilipopata twins! baada ya hapo hubby mwenyewe alinikalisha chini akaniambia mke wangu UTAKUFA! Watoto ni wewe na usiku hulali wanavyolia, kazini uende, wakiumwa ulazwe nao, uandae lishe ya watoto na kupika weekends! bado usiku nahitaji mara tatu mpaka kukuche! HAPANA MKE WANGU KUANZIA SASA WADADA WATAKUSAIDIA KILE UTAKACHO, MAVUMBI WATAFUTA, DEKI WATAPIGA NA NGUO WATAFUA! KUHUSU KITANDA KWA KWELI TWAPEANA ZAMU, NIKIWAHI KUAMKA ANATANDIKA YEYE. AKIWAHI YEYE NATANDIKA MIMI, ILA WADADA WANAINGIA KUFANYA USAFI SATURDAY'S OR SUNDAY'S NKIWEPO! KATI KATI YA WEEK HUWA NAFUNGA CHUMBA HAWANA ACCESS, UNLESS NIRUDI MWENYEWE NIMWAMBIE DADA ADEKI AU AFANYE CHOCHOTE NIKIWEPO!

KUHUSU BEKI TATU KUSHARE NA WEWE DUSHELELE, NADHANI NI AKILI TU YA HUYO MUMEO, KAMA NI MZINZI, HATA UKITANDIKA, FUA, PIKA, FUTA MAVUMBI, ZAA, KUWA MGUMBA, NYONYESHA, USINYONYESHE, KUWA MCHA MUNGU AU KICHECHE, KAMA NI MAL.A.YA NI MALA.YA TU! na kama mueo ni MSTAARABU, HATA HOUSEGAL AKIINGIA MRA KUMI KWA SIKU NA KUFAGIA, WALA HATAKUSALITI! VYUMBA VYETU KUVIWEKA MIKONONI MWA MUNGU!


LINGINE NI KUMPA LIVE HAUSGAL, KWAMBA CHUMBANI KWANGU UTAINGIA, UTAFANYA YOTEEEEEE NITAKAYO UFANYE, ILA MUME WANGU AKIKU.TONGOZA UKAKUBALI SHAURILO MAANA NITABAKI KUWA MKEWE MILELE, YAANI HAIBADILIKI. KINACHITAKIWA NI WEWE KUWA MUANGALIFU NA KUJUA KILICHOKULETA! TENA HUWA NAWAAMBIA KABISA, WALIOPITA WALI.TI.WA NA HUBBY NA WAMEACHWA, MWENYEWE NIPO NAPETA, SO KAMA NA WEWE UNAPENDA KUONGEZA LIST KARIBU TUSHEE!!


JIONI NJEMA WAMAMA WENZANGU, MUME NI WAKO MILELE, USIJIUE MGONGO KWA KUJIFANYA MWEMA SANA, HUKU NJE ANAGONGA VILE VILE!!! YAANI UPONE KWA HAUGAL TU, WAKATI NJE WASAIDIZI WA KUMWAGA! HAINIINGII AKILINI!! WOTE TUNAHITAJI MAPUMZIKO!!


TUWACHWEEEEEEEE TUPUMUWEEEEEE WAMAMA!!........!!
 
Na nikupe siri Bro...sisi wanawake uwa when it comes to marriage huwa tunaoneana wivu kwa kuwa na mume caring na si mume mwenye noti kwani kama ni noti hata wanawake siku hizi wanajua kuzichanga.

Mwanamke akiwa na mume anayefanya vitu ambavyo ni very rare utaona marafiki zake wanavyo comment kihisia wishing they could be on her position.

Nikiwa college mfano kuna prof mmoja alikuwa anabeba wanae kuwapeleka clinic...basi hiyo ilikuwa indentity ya ile familia...kila mtu anasema kuwa mkewe ana bahati.

Hivyo ukitaka kumpumbaza mkeo fanya vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume wengi (mabossy) hawafanyi...jua hapo umemroga.

i will do because i like and i am into IT,and not because my wife cant do or i am not satsfied with her doings.....na ili vitu vidogo vidogo visinisumbue i wont even bother asking about it......hutanisikia kamwe nikicomplain mbona chakula kibichi au nyumba ni chafu.

kama wote tunafanya kazi ni jukumu lake kuset standards za domestic issues na kuzisimamia kuhakikisha zinafikia matarajio yake na kwa kuishi naye natumaini atakuwa ameshanisoma mumewe matarajio yangu ,kwahiyo atakuwa hapo nyumbani kulinda interest zangu kama my wife kwenye domestic issues......( to me hapo nitajifeel nina mtetea ndani na jogoo lazima nilete kwere mtetea wangu akiguswa tu au kuudhiwa/kerwa)....HAKUNA KITU KITAMU SANA NA HULETA HISIA ZA UPENDO SANA KAMA MWANAMKE WAKO MPENDWA/WIFE TO HAVE YOUR BACK.IT FEELS VERY GREAT.
 
Tofauti ya hotelini na nyumbani kwa muktadha wa mtu aliyeajiriwa ni ipi?

Kwani hotelini wanalipwa Diamond na nyumbani tunalipa copper??

Babu DC!!


hahahah, sasa wewe mbona unataka kutengea torati za watu, kila familia ina mipangilio yake, nyamayao kwake ni mwiko kwako wewe poa, so ni mchakato/mgawinyiko yu wa kimajukumu kutokana na familia kuwa na misimamo/maono tofauti, upo hapo?
 
wanaumeeeeee, mbona mie nafua chupi zangu mwenyewe. siku moja moja nadeki pia....
 
Umemaliza yoote shosti....yani niumie kichwa eti kisa atatembea na beki tatu....na huko ofisini nimemwekea kofuli....haku, sina presha hata akipiga beki tatu ni umalaya wake haina uhusiano na uchapa kazi wa beki tatu; kama ni hivyo atakuwa anapiga na ma surbodinate wake kazini kama bonus ya kufanya kazi vizuri.

mimi kusema ukweli ni likuwa nafanya mwenyewe mpaka nilipopata twins! baada ya hapo hubby mwenyewe alinikalisha chini akaniambia mke wangu UTAKUFA! Watoto ni wewe na usiku hulali wanavyolia, kazini uende, wakiumwa ulazwe nao, uandae lishe ya watoto na kupika weekends! bado usiku nahitaji mara tatu mpaka kukuche! HAPANA MKE WANGU KUANZIA SASA WADADA WATAKUSAIDIA KILE UTAKACHO, MAVUMBI WATAFUTA, DEKI WATAPIGA NA NGUO WATAFUA! KUHUSU KITANDA KWA KWELI TWAPEANA ZAMU, NIKIWAHI KUAMKA ANATANDIKA YEYE. AKIWAHI YEYE NATANDIKA MIMI, ILA WADADA WANAINGIA KUFANYA USAFI SATURDAY'S OR SUNDAY'S NKIWEPO! KATI KATI YA WEEK HUWA NAFUNGA CHUMBA HAWANA ACCESS, UNLESS NIRUDI MWENYEWE NIMWAMBIE DADA ADEKI AU AFANYE CHOCHOTE NIKIWEPO!

KUHUSU BEKI TATU KUSHARE NA WEWE DUSHELELE, NADHANI NI AKILI TU YA HUYO MUMEO, KAMA NI MZINZI, HATA UKITANDIKA, FUA, PIKA, FUTA MAVUMBI, ZAA, KUWA MGUMBA, NYONYESHA, USINYONYESHE, KUWA MCHA MUNGU AU KICHECHE, KAMA NI MAL.A.YA NI MALA.YA TU! na kama mueo ni MSTAARABU, HATA HOUSEGAL AKIINGIA MRA KUMI KWA SIKU NA KUFAGIA, WALA HATAKUSALITI! VYUMBA VYETU KUVIWEKA MIKONONI MWA MUNGU!


LINGINE NI KUMPA LIVE HAUSGAL, KWAMBA CHUMBANI KWANGU UTAINGIA, UTAFANYA YOTEEEEEE NITAKAYO UFANYE, ILA MUME WANGU AKIKU.TONGOZA UKAKUBALI SHAURILO MAANA NITABAKI KUWA MKEWE MILELE, YAANI HAIBADILIKI. KINACHITAKIWA NI WEWE KUWA MUANGALIFU NA KUJUA KILICHOKULETA! TENA HUWA NAWAAMBIA KABISA, WALIOPITA WALI.TI.WA NA HUBBY NA WAMEACHWA, MWENYEWE NIPO NAPETA, SO KAMA NA WEWE UNAPENDA KUONGEZA LIST KARIBU TUSHEE!!


JIONI NJEMA WAMAMA WENZANGU, MUME NI WAKO MILELE, USIJIUE MGONGO KWA KUJIFANYA MWEMA SANA, HUKU NJE ANAGONGA VILE VILE!!! YAANI UPONE KWA HAUGAL TU, WAKATI NJE WASAIDIZI WA KUMWAGA! HAINIINGII AKILINI!! WOTE TUNAHITAJI MAPUMZIKO!!


TUWACHWEEEEEEEE TUPUMUWEEEEEE WAMAMA!!........!!
 
kama hotelini na nyumbani kwako ni sawa basi tumetofautiana sana mkuu!

sasa sijui kwako wageni ni kina nani?
mmiliki ni nani?
meneja ni nani?
mhudumu ni nani?
mfanya usafi ,mpishi n.k ni nani?

If I can put it this way,....nyumbani kwangu ni hoteli ndogo na baadhi ya watu wana kofia zaidi ya moja....

Does that satisfy you??

Sasa na wewe tueleze, tofauti ya wafanyakazi wa hotelini na nyumbani ni ipi?

Mind you, kuna nyumba zinaajiri wafanyakazi ambao wa wa taaluma ya kutunza nyumba (professional house keepers)!!

Babu DC!!
 
Umemaliza yoote shosti....yani niumie kichwa eti kisa atatembea na beki tatu....na huko ofisini nimemwekea kofuli....haku, sina presha hata akipiga beki tatu ni umalaya wake haina uhusiano na uchapa kazi wa beki tatu; kama ni hivyo atakuwa anapiga na ma surbodinate wake kazini kama bonus ya kufanya kazi vizuri.

wuuuu, hahahah, ila sio wote ambao hatupendi waingie room basi tuna hofu hiyo, mie hiyo hofu ya yeye kugonga h'gal sina kabisa na sitakuwa nayo mana kama kugonga alishagonga huko nje na nikajua, kwangu mie hilo ni "jukumu" langu, halina woga/hofu wala papara.
 
hahahah, sasa wewe mbona unataka kutengea torati za watu, kila familia ina mipangilio yake, nyamayao kwake ni mwiko kwako wewe poa, so ni mchakato/mgawinyiko yu wa kimajukumu kutokana na familia kuwa na misimamo/maono tofauti, upo hapo?


Ni mjadala tu dada yangu mwenyewe Nyamayao,

Halafu kupitia mapoint ya watu na mengine mengi tunapeana elimu ya bure...

We acha tuendelee endelee ili juma lianze vizuri....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Umemaliza yoote shosti....yani niumie kichwa eti kisa atatembea na beki tatu....na huko ofisini nimemwekea kofuli....haku, sina presha hata akipiga beki tatu ni umalaya wake haina uhusiano na uchapa kazi wa beki tatu; kama ni hivyo atakuwa anapiga na ma surbodinate wake kazini kama bonus ya kufanya kazi vizuri.


Hapa naona upere umepata wakunaji.....

Kweli kama mtu ndiyo tabia yake ya kutoa bonus ya ngono hawezi kuacha hata ukifanya usafi wa vyumba vyote nyumbani...lol!!

Babu DC!!
 
Umemaliza yoote shosti....yani niumie kichwa eti kisa atatembea na beki tatu....na huko ofisini nimemwekea kofuli....haku, sina presha hata akipiga beki tatu ni umalaya wake haina uhusiano na uchapa kazi wa beki tatu; kama ni hivyo atakuwa anapiga na ma surbodinate wake kazini kama bonus ya kufanya kazi vizuri.
hiyo nisawa na kuzuia mafuriko kwa beseni wangu! mimi sitaki kabisaaaaaaaa kujitoa roho wala kuumia MGONGO eti ni majukumu!! majukumu ambayo mwisho wa siku yanakuumiza we mwenyewe!! YE MWENYEWE YUPO SOOOO RELAXED, tena akiniona nimeinama huwa anagomba balaa, utasikia kwani dada ana kazi gani?? muite aje amalizie hapo, wewe kuja pande hii.......!! jamani wababa, kama ambavyo nyinyi huchoka mkitoka kwenye majukumu, na sisis ndio hivyo hivyo, muwe mnatuhurumia, ukilalamika isssue ndogo kama kutandika????? mbona kuna ya msingi ya kuongelea na kulalamika???

halafu kwa wale wenzangu na mimi tususuo tukichuchumaa, ukiwa mjamzito au umetoka kujifungua na beki tatu haingii rum kwako, si KUTAOZA HUKO NDANI??? nyie kazaneni kuonyesha mapenzi kwa kujiua migongo, wakati wenzenu wanashinda le chique kufanyiwa massage, akirudi mwepesiiiiiiii, we mgongo wakuuma, eti mapenzi NALINDA NDOA!! ZILINDENI SANA, tena wazungushieni nyaya za ULTIMATE SECURITY, haus gal akigusa anase!!

ndoa hazilindwi hivyo!!
 
mimi kusema ukweli ni likuwa nafanya mwenyewe mpaka nilipopata twins! baada ya hapo hubby mwenyewe alinikalisha chini akaniambia mke wangu UTAKUFA! Watoto ni wewe na usiku hulali wanavyolia, kazini uende, wakiumwa ulazwe nao, uandae lishe ya watoto na kupika weekends! bado usiku nahitaji mara tatu mpaka kukuche! HAPANA MKE WANGU KUANZIA SASA WADADA WATAKUSAIDIA KILE UTAKACHO, MAVUMBI WATAFUTA, DEKI WATAPIGA NA NGUO WATAFUA! KUHUSU KITANDA KWA KWELI TWAPEANA ZAMU, NIKIWAHI KUAMKA ANATANDIKA YEYE. AKIWAHI YEYE NATANDIKA MIMI, ILA WADADA WANAINGIA KUFANYA USAFI SATURDAY'S OR SUNDAY'S NKIWEPO! KATI KATI YA WEEK HUWA NAFUNGA CHUMBA HAWANA ACCESS, UNLESS NIRUDI MWENYEWE NIMWAMBIE DADA ADEKI AU AFANYE CHOCHOTE NIKIWEPO!

KUHUSU BEKI TATU KUSHARE NA WEWE DUSHELELE, NADHANI NI AKILI TU YA HUYO MUMEO, KAMA NI MZINZI, HATA UKITANDIKA, FUA, PIKA, FUTA MAVUMBI, ZAA, KUWA MGUMBA, NYONYESHA, USINYONYESHE, KUWA MCHA MUNGU AU KICHECHE, KAMA NI MAL.A.YA NI MALA.YA TU! na kama mueo ni MSTAARABU, HATA HOUSEGAL AKIINGIA MRA KUMI KWA SIKU NA KUFAGIA, WALA HATAKUSALITI! VYUMBA VYETU KUVIWEKA MIKONONI MWA MUNGU!


LINGINE NI KUMPA LIVE HAUSGAL, KWAMBA CHUMBANI KWANGU UTAINGIA, UTAFANYA YOTEEEEEE NITAKAYO UFANYE, ILA MUME WANGU AKIKU.TONGOZA UKAKUBALI SHAURILO MAANA NITABAKI KUWA MKEWE MILELE, YAANI HAIBADILIKI. KINACHITAKIWA NI WEWE KUWA MUANGALIFU NA KUJUA KILICHOKULETA! TENA HUWA NAWAAMBIA KABISA, WALIOPITA WALI.TI.WA NA HUBBY NA WAMEACHWA, MWENYEWE NIPO NAPETA, SO KAMA NA WEWE UNAPENDA KUONGEZA LIST KARIBU TUSHEE!!


JIONI NJEMA WAMAMA WENZANGU, MUME NI WAKO MILELE, USIJIUE MGONGO KWA KUJIFANYA MWEMA SANA, HUKU NJE ANAGONGA VILE VILE!!! YAANI UPONE KWA HAUGAL TU, WAKATI NJE WASAIDIZI WA KUMWAGA! HAINIINGII AKILINI!! WOTE TUNAHITAJI MAPUMZIKO!!


TUWACHWEEEEEEEE TUPUMUWEEEEEE WAMAMA!!........!!

Aisee umejieleza vizuri sana cacico nakubaliana na wewe kwa asilimia zote ila hapo mwisho tu ndio umenishangaza. Muwachwe mupumuwe kwakuwa mkitandika vitanda mnabanwa pumzi sio?

Kusaidiana sio tatizo kwakweli na ndio maana unaona hata mumeo ni yeye mwenyewe aliamua kukupumzisha baadhi ya majukumu pamoja na kwamba wewe mwenyewe hukuwa umekataa kufanya hivyo.Tatizo liko kwa hawa mnaojiita modern wife mnajaribu kila njia kubadili nyeusi kuwa nyeupe na hapo ndipo pagumu na mwanzo wa matatizo ya ndoa.

Btw, mumeo kumbe yuko gado kinoma, kila siku lazima atikise wavu 3-0!!!:smile::smile::smile:
 
Nimeona sana cacico,

Yaani eti uvunje mgongo kabla ya umri wako kisa na mkasa, .....unaongopa kuporwa mume na house girl??

Mbado kuelewa mie......labda ni uzee..lol!!

Babu DC!!
nimewaambia wanaolinda ndoa zao, WAWAZUNGUSHIE WAUME ZAO NYAYA ZA UMEME ZA ULTIMATE SECURITY, mabeki 3 wakigusa wanase wafe, kama kwa akili zao za kutandika kitanda ndio wanalinda! wenzao wanawagonga store wakati wa kutoa unga wa ngano, na kichapo hukohuko!!
 
Back
Top Bottom