sa si uje home,nimejaa tele mie.......,
Vi nini hivyo?
vifilimbi ya polipopo ............!
Hahahahhhh. Noma. Bado wana mikono sweta?
Hujawahi kukutana na wazungu? Hata posta huwaonagi? Basi ntakupeleka Masaki ukakutane nao wakicheza na watoto wao
Jamani sijawahi kuwa na bwana wa kizungu, ila nasikia ni wa baridi sana kitandani na hawawezi kuhimili mikiki mikiki ya uwanjani.
Najua Paloma utakuwa usha test hii ladha ya winter. Pia na wengine wenye uzoefu na wazungu mtueleze kinachowasibu mpaka mabinti wa kizungu wamiminike Afrika waje kufanya utalii wa kingono
Mmh!, mi naona inategemea mtu na mtu,na matamanio binafsi.kwa mimi nimetoka na mabinti wa kizungu na wengi wanavutia kivyao na wanaweza mashamsham kitandani, lakini kadri muda ulipoenda hamu ya kulala nao ikawa inapungua sana.Wanawake weusi tofauti wanavutia sana! Nikiona paja tu nipo tayari kwa mwendo hata kama havutii kii hivyo.Mzungu nahitaji maatayarisho.Nahisi ngozi nyeusi inavutia sana,na maumbo ya wanawake weusi ni tofauti na wazungu,wanawake wengi wa kibantu wana makalio ya dhati!wanayoshikiliwa na kiuno nyororo,wakitembea hucheza cheza kwa kupokezana kama yanakimbia mbio za vijiti.wazungu wengine wanayo makalio,lakini mara nyingi huwa flat!.
Wanawake weusi watamu usisikie!
heeee
ladha kwenye nini haswa
kama sambi ni zako, mie siko mwaya
sosoliso, usijiite mzungu, jiite mburushi, Mwakyembe akikusikia tutakusahau
Lord we don*t need another mountain,
There are mountains and hillsides enough to climb,
There are oceans and rivers enough to cross
Enough to last until the end of time
Mmmmmmh! Labda kuna ka-ukweli kidogo.Jamani sijawahi kuwa na bwana wa kizungu, ila nasikia ni wa baridi sana kitandani na hawawezi kuhimili mikiki mikiki ya uwanjani.
Najua Paloma utakuwa usha test hii ladha ya winter. Pia na wengine wenye uzoefu na wazungu mtueleze kinachowasibu mpaka mabinti wa kizungu wamiminike Afrika waje kufanya utalii wa kingono
Mie ni mzungu kwani Paloma..?
Bujibuji za mtaroni nazo utasema ni nzuri?!?!?! ebooososoliso, usijiite mzungu, jiite mburushi, Mwakyembe akikusikia tutakusahau
Jamani sijawahi kuwa na bwana wa kizungu, ila nasikia ni wa baridi sana kitandani na hawawezi kuhimili mikiki mikiki ya uwanjani.
Najua Paloma utakuwa usha test hii ladha ya winter. Pia na wengine wenye uzoefu na wazungu mtueleze kinachowasibu mpaka mabinti wa kizungu wamiminike Afrika waje kufanya utalii wa kingono