share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,063
- 10,478
Ni shughuli shoga yangu. Ili akudungue lazima moto muanze kuuwasha tangu njiani: kugusana kwa sana na mishemishe kama hizo. Kaka yako akiwa karibu mwambie akitoe, upo shambani unang'oa mihogo, asubiri ikiiva atapa walau ndala yeboyebo. Wewe ni madenda mpaka rumu. Mechi ikianza ujue ni bao moja tu. Kusimamisha tena ndio usahau mpaka siku tatu au zaidi. Shoga, nakuambia mpingo wako usiuache hata kama utayapata haya meupe. Tunafuata dola tu, raha hakuna. Utafikiri kaingia nyoka pangoni bwana! Uwiiiiiii.