kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,415
Huu ndiyo ukweli ndugu zangu, Wazungu kamwe hatowaweza kwa lolote, wametuacha mbali sana, kwenye kila kitu. Wakitaka lolote katika nchi za Africa linakuwa, (kama waliweza Uarabuni) ukiwaletea jeuri sana wana mbinu zote za kukudhoofisha.
Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.
Kawaulize Zimbabwe, sijui wametoka sayari gani hawa watu, MTU unaweza kubisha tu kwa ujeuri ila wametuzidi; usiseme kwa kuwa walitutawala ingekuwa hivyo Ethiopia ingekuwa mbali nayo, maana haikuwahi kutawaliwa kamwe.